Kuchafuka ndo dili mheshimiwa, si unaona waliochafuka na Richmond, escrow, nyumba za serikali, kupeleka wake shopping dubai kwa gharama za serikali, nk walivyo maarufu sasa. Wasio chafuka akina mahiga, Bilal, mpina, drs 7, nk unaona wana umaarufu wowote. Chafuka mkuu kadiri iwezekanavyo.