Yaani ni kweli kabisa, kwetu mtu akikuita KAPUKU amekudharau sana na mnaweza kupigana. Bibi yangu zamani za miaka ya 80 ukifanya jambo ambalo halina ufahamu ndani yake (yaani ukikosea) atakuita jina hilo la KAPUKU. Na mimi nashauri kama Group hili ni la manufaa mazuri na ni la watu makini...
Aaaa hapo sasa kwa issue kama hii ulitaka aende akakutane na nani? Waziri wa nishati na madini?Au Waziri Mkuu?Kumbuka Ripoti hizi zinashikiliwa na Raisi, na alieomba kuonana na Naye ni Balozi na sio huyo unaemtaja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.