Membe Alipotoka Kuhojiwa Na Viongozi Wa Ccm, Alisema Nakwenda Hotel Na Mke Wangu Tunakwenda Kula Chakula Kitamu Sana!!Nitalala usingizi mnono sana leo.
Siyo kwa furaha hii niliyonayo.
Yala maskini, saidia baba njaa inauma!!!Saidia baba.View attachment 1526258
Ndio maana jiwe anaziogopa vibaya.405 Kura sio mchezo
AmenHotuba zao zilikuwa tofauti mno, hotuba ya Lissu inakuamsha hata kama unasinzia. The guy was born to be a leader. May God Bless Him.
Wajumbe ni balaaa hata huku wako wanaendelea kuwashikishaadabu wasaliti. Wajumbe hoyeeeee !!!!!!!!!!!!Tundu lisu kapata kura 405 Lazaro nyalandu kura 39 Marryrose Majige kura moja.Lazaro rudi kwenu kumenoga hawakutaki huko.
Endeleeni kuota. Fikiria 2015 mlikua na Mamvi bado mkakaa itakua 2020
Hahahaha tuweke sawa hili kwanzaHis apeech was so good
Hao 39 waliompa kura ni wa huko kwenu? Acha uchonganishi, nyie ndio mliotengeneza twiti fake kuwa anaondoka.Tundu lisu kapata kura 405 Lazaro nyalandu kura 39 Marryrose Majige kura moja.Lazaro rudi kwenu kumenoga hawakutaki huko.
Nyalandu muoga muoga sana yule,analetaga busara nyingi sehemu zisizohitajika.
Democrasia iko ccm tuUtashangaa hayo matokeo hayapingwi popote. Kweli demokrasia bado sana
Wale wagombea Wa ccm Kule Zanzibar walioshindwa wamerudi wangapi?Tundu lisu kapata kura 405 Lazaro nyalandu kura 39 Marryrose Majige kura moja.Lazaro rudi kwenu kumenoga hawakutaki huko.
Uchumi wa kati unatusaidia nini wakati asilimia 65 ni masikini wa kutupwa, acheni porojo zenu hizo za kwenye majukwaa.Anachanja Tena? Kweli Ufipa wamejaa misukule. Uchumi wa Kati tayari, National Carrier, SGR, Stiglers Gorge n.k
Mh!Utashangaa hayo matokeo hayapingwi popote. Kweli demokrasia bado sana
Unataka kumfananisha shujaa Lissu na utopolo mamvi ambaye hata kujenga hoja hajui???Endeleeni kuota. Fikiria 2015 mlikua na Mamvi bado mkakaa itakua 2020
Hapo ndipo naipenda SIASA na serikali mpya ishaanza kuundwa.Huyu kamanda Lazaro Samuel Nyalandu tunamhitaji katika serikali yetu mpya, anafaa nafasi za kidiplomasia kama balozi au hata waziri wa Mambo ya Nje.
Hao ambao hawana hamasa ya kupiga kula ni akina Nani?Sio Lowasa pekee yake pia CUF iliyokuwa imara plus NCCR Mageuzi. 2015 nguvu kubwa iliongezwa na Lowasa na Ukawa, bila hivo huwezi kupata hata 15%. 2020 hali itakuwa mbaya zaidi maana Lowasa hayupo, Ukawa hawapo kila mmoja atachukua watu wake, ACT watapunguza kula plus mwaka huu hakuna hamasa ya wapiga kura kama 2015.