Ndugu hakuna utafiti km wa aina hiyo unafanyika bila serikali kujua. Awe mgeni (kampuni) au mwenyeji.
Hivyo kuuliza serikali haijui ni ufinyo tu wa kufikiria, ww unadhani wanaweza vipi kutembea maeneo hayo kitafiti bila serikali, ya kuanzia kijiji,wilaya mkoa kujua?
Kivopi kushuka daraja kwa kusajili wazawa?
Kweli unajitambua kwani kanuni inasemaje timu kuwa na wachezaji wangapi wa ndani na wa nje ni wangapi?
Je nyie utopolo mnaowachezaji wa ngapi wazawa na wageni wangapi?
Jitambue
Umesahau akiwa BARCA alivyokuwa akiwageuza kama chapati team pendwa za huko unapotetea England?
Pale England ligi pendwa karibia wote mlilia na kupewa presha na huyo MESSI? Unamkumbuka yule mzee wa team pendwa alivyokuwa anatetemeka siku ile? Mpk leo yule mzee ni mgonjwa kisa LAPURGA (MESSI)...
Miongoni mwa wanasiasa feki huyu professor Pumba ni moja wapo, sijui huo usomi wake aliupataje huwa anajidhalilisha sana ,tena ni mlaini kununuliwa hata rejareja. Kadri siku ziendavyo mtazidi kumjua sie tulishamuona hata kabla ya walio nae wengine hawajazaliwa, miaka ile ya 1990 enzi za James...
Mara nyingi wanasema wahindi upenda kuwapa wafanya kazi wao nazi za kishirikina kuwapumbaza na ukikataa hawakupendi. Sijui km huwa kuna
ushirikiana wa waziwazi vile?
Sent from my Infinix X559 using JamiiForums mobile app
Support, support, support saaaaaana kwa idea yako Kali sana ila wasiwasi wangu die wadogo hata tutoapo wazo km ili wakubwa fulani wanachukuwa file lako na kuweka uvunguni mwa droo yao.
Ila km tunaye balozi ktk nchi ya Croatia (sidhani) au ukanda huo haswa Russia afanye mchakato wa kidiplomasia...
Ndege ya KLM IPO ANGAN INASHUKA IPO KM FT 10,100 INAKARIBIA KUTUA HAPO DAR NDO KOCHA WENU KAIZE YUPO NDAN HAPO BADO KM DAKIKA 21 USIKU HUU YA TAR 15/10/2020. MPOKEENI NYIE WASHAMBA NIMEWASHTUA ANZENI KUANGAZA MACHO JUU
MHE, TUNDU LISU MGOMBEA URAIS WA JMT KUPITIA CHADEMA. MIE NAULIZA JE,IKITOKEA UKAWA RAIS WA TANZANIA UNADHANI NI YAPI UTAKAYOYAENDEZA YALIYOANZISHA NA CCM KIMAENDELEO NA YAPI UTAYAACHA NA KUYASITISHA?
PILI, JE UNAKUMBUKA NI YAPI YALIYOMEGWA NA SERIKALI YA CCM KUTOKA KWA SERA ZA CHADEMA NA...
Majina yote hayo ya vituo vya daladala (haice kwa hapa arusha) ni majina ya watu na vielelezo vilivyokuwepo wakt vituo hivyo vikianzishwa. Hivyo kwa wale wanaojua waanze kutoa maana na kisa cha vituo hivyo kuitwa. Mf kwa muorombo inasemekana kuna muorombo moja (mchaga) alianzisha biashara ya...
Kweli ni pumba. Wewe kijijini ulimi zote hizo hata usishtukiwe kwa biashara chafu hivyo? Hata ng'ombe wasionyeshe dalili ya kuumwa maana ulimi ni kiumbe cha maumivu sana kikikatwa. Pili, hao wanakijiji wasikuulize kila siku unapata ulimi wapi maana ng'ombe kijijini kuchinjwa kwa wingi mpk upate...
Kaongea point si kutishiana chukua tahadhari tujifunze kwa wenzetu. Yawezekana paktokea siku moja ukamkumbuka sana huyu unayemdharahu leo na kusema TUNATISHIANA!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.