Recent content by Bulichekah

  1. Bulichekah

    Naomba kufahamu ubora wa vifaa vya HAVELLS

    Naiamini sana Havells kuliko tronic. Havells anauzia ubora, Tronic anauzia Jina!!
  2. Bulichekah

    Jinsi dani ya kurudisha vitu vilivyofutika kwenye sd card baada ya ku-format?

    Asante sana. Huenda kuna njia, ngoja nisubiri wengine
  3. Bulichekah

    Jinsi dani ya kurudisha vitu vilivyofutika kwenye sd card baada ya ku-format?

    Ndugu wataalam, nawasalimia sana. Nimeformat SD CARD Ya CAMERA ambayo ilikuwa na picha nyingi muhimu na ningependa nizirejeshe. Nimepambana na recovery softwares nyingi za mtandaoni lkn zote nimeona ni za kulipia. Tafadhali naombeni msaada wetu ili niweze kurejesha vilivyopotea ndani ya ile SD...
  4. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Hiyo yeupe iliyoandikwa $660 OFF ni $4983. Hizo nyingine bei imechangamka lakini nimeziona ziko vizuri. JE KATI YA HIZO TATU. NIKOMAE NA IPI NDUGU ZANGU?
  5. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Gari iliyotembea chini ya MILEAGE 100,000 zinachangamoto yoyote? Maana nimeona zipo OUTLANDER za Mileage 30K za mwaka.2007
  6. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Kwa vile nimeshauriwa ninunue gari yenye mileage kuanzia 100,000 ila isizidi 160,000 bas nitachagua OUTLANDER inayoendana na hiyo bei mkuu wangu Yudasti na kaburungu
  7. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Nimeona Autocom wana magari machache sana. Ni sellers gani wengine ambao ni cheap, wa uhakika lkn wenye magari mengi? ASANTE
  8. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Asante sana Kiongozi. Nimepitia ushauri wako pmj na ule uzi na nimeelewa sana. Umenpanua uelewa saaaaana. Blessed papaa!!
  9. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Asante sana Kiongozi. Nimepitia ushauri wako pmj na ule uzi na nimeelewa sana. Umenpanua uelewa saaaaana. Blessed papaa!!
  10. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Nina subira mkuu wangu maana ushauri ni muhimu na utaniepusha kukosea
  11. Bulichekah

    MITSUBISHI OUTLANDER

    Wapendwa wanajamii Forum, nimekusanya kwa muda mrefu na nikafanikiwa kuwa na bajeti ya USD 5000 kwa ajili ya kununua gari. HII NI BILA KODI YA TRA. Gari ninayopenda na ambayo naiona nzuri kwa upande wangu ni MITSUBISHI OUTLANDER. Nimekuja kwenu ndugu zangu ili kuomba ushauri ili kufanikisha...
  12. Bulichekah

    Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

    Kuwa single ni kiwango cha juu cha umaskini,kujichelewesha na mwisho kbs lazma ujute
  13. Bulichekah

    Nchi masikini inawezaje kuwa na Ikulu mbili?

    Hata kama hampendi, lkn Dodoma ndio Makao makuu ya nchi
Back
Top Bottom