Wakuu heshima yenu,naomba msaada wenu katka jambo hili tafadhalini. Jambo lenyewe ni hili "ikiwa nafahamu mwaka na mwezi niliozaliwa. Je kuna njia yeyote ya kujua siku niliozaliwa.
Hope watundu wa hesabu watakuwa na msaada kwangu.
Ndugu zangu tatzo la figo kushindwa kufanya kazi ni tatzo ambalo limewakumba wengi na wengine kufikia hatua ya kusafishwa damu huduma ambayo hakika gharama zake zipo juu kwa walio wengi.
Habari njema nikuwa lipo suluhisho la kudumu la tatzo hili hata kama umeishaanza kusafishwa damu.
Karibu
Ndugu zangu,
Poleni na majukumu na hongereni kwa ufanisi. Ikiwa kuna mtu mwenye tatizo la figo kushindwa kufanya kazi na ameanza huduma ya kusafisha damu au hajaanza, basi nina furaha kuwajulisha kuwa tumaini lipo la kurudisha figo zako katika hali ya kawaida.
Ikiwa wewe, ndugu, jamaa au...
Pacman alikuwa na lengo la kumaliza kwa KO hivyo tangu round ya kwanza lengo lake lilikuwa hilo,mayweather alikuwa makini sana kudhibiti kasi ya pacman na alikuwa anapga ngumu ambazo zilikuwa zikimfikia adui wake tofauti na pacman amerusha ngumi nyingi lakini jamaa alikuwa akizikwepa au...
Asanteni kwa mjadara huu,naomba mnisaidie jambo hili tafadharini.Kuna faida gani ya kuagiza gari toka nje ya nchi na kununua gari ilo ilo kwa mawakala waliopo hapa nchini? Nategemea majibu yenye kujenga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.