Kilichowasomesha wahaya

Kilichowasomesha wahaya

ebihise.jpg
Mwezi gwa ikumi na ibiri ningya omuka...hii kitu si mchezo...metoa watu mbali....bakama bange..!

sehemu ya maandalizi.
 
Wanaume wa kihaya kuringa kweli kwenye damu.

Yaani mie nilikuwaga sivutiwi nao na madharau sasa mmh hata dada zenu wanalalamikaga.
 
Wanaume wa kihaya kuringa kweli kwenye damu.

Yaani mie nilikuwaga sivutiwi nao na madharau sasa mmh hata dada zenu wanalalamikaga.

Ni aina ya maisha walikotokea ndo inachangia ulimbukeni huo...........
 
Ni aina ya maisha walikotokea ndo inachangia ulimbukeni huo...........

Walikotokea ni kuzuri sana ukilinganisha na mikoa mingi hapa Tanzania. Hawajidai wala kuwa na madharau... sema wanajiamini sana ila nyie ndo mnawatafsiri kivingine. Kama we mwanamke jaribu kuingia kwenye mahusiano na Muhaya uta-enjoy sana. Usisahau kurudi hapa kunipa shukrani.
 
100% hii kitu imetusomesha wengi plus na kahawa jamani binafsi kama si haya makitu leo ningekuwa cjui wapi.
 
Back
Top Bottom