Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kwamba kupata cheti cha kuzaliwa au kifo kutoka ofisi ya kutoa vyeti hivyo (RITA) Mkoani Arusha ni shughuli kubwa sana.
Ukifika mara ya kwanza unakuta foleni ndefu ya ajabu. Ukifanikiwa kuwakuta watendaji unapewa namba ya kulipia (Kontro namba)
ukisha...
Licha ya kuwa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Jemedari Rais Mhe. John Magufuli kuwa katika mstari wa mbele kupiga vita rushwa, lakini katika hali ya kusikitisha vitendo vya rushwa vimekithiri Baraza la Ardhi na Nyumba Arusha.
Wengi wa wanaohitaji huduma kutoka kwa waheshimiwa...
Maamuzi mengine watu wanashangilia lakini ni janga kwa Taifa. Kikwete hakuwa mjinga kuzuia lisibomolewe. Huo ni uharibifu wa mali ya umma. Wakiti linajengwa serikali na vyombo vyake vyote vilikuwepo, kulibomoa jengo la mabilioni kama lile la TANESCO ni hasara kwa Taifa. Raisi ashauriwe...
Nchi hii imefikishwa hapa na WACHUMIA TUMBO. Majambazi kama yaliyompiga LISU risasi yamepata au yatapata faida gani? Wataishi milele au nayo siku moja yatakufa na kuacha kila yalichopata kwa kumwaga DAMU za wasio na hatia?
Mungu hapendi watu wanaofanya kazi kama mashetani. Alichofanyiwa TAL ni ushetani, Tulaani kwa nguvu zote kila aina ya ushetani unaotendwa wa WATU WASIOJULIKANA. Na tuwalaani wote wanaotaka kutoa watanzania wenye mapenzi mema kwa nchi kwenye hoja ya kusahau unyama na ushetani uliotendwa na...
Yule kijana wa Arusha aliyerusha kwenye facebook kwamba angetaka Lisu auawe alikamatwa kwa just kuhisiwa. Kwanini Bashite asikamatwe kwa kuhisiwa? Tatizo sisi tuna bouble standard. Kuna watu na majitu, hiyo haifai
Umesahau kwamba Dr Mvungi (sasa marehemu) alivamiwa na watu wasiojulikana na hatimaye alifia hospitali ya Muhimbili? Umesahau kwamba kama siyo kuwapeleka Amerika wale watoto walionusurika kwa ajili kule Arusha leo wangeshakuwa wamesahaulika?
Kwa damu iliyokuwa imepotea kutoka kwa Mh. Lisu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.