Maamuzi mengine watu wanashangilia lakini ni janga kwa Taifa. Kikwete hakuwa mjinga kuzuia lisibomolewe. Huo ni uharibifu wa mali ya umma. Wakiti linajengwa serikali na vyombo vyake vyote vilikuwepo, kulibomoa jengo la mabilioni kama lile la TANESCO ni hasara kwa Taifa. Raisi ashauriwe inavyostahili jamani.Ukivunja jengo la TANESCO si unajifilisi mwenyewe??
Hakuna altenative space?
Ondoa jengo la idara ya maji lote uponyeshe hiyo hasara ya mabilioni!!