Ndg nakushaur soma prospectus ya mzumbe na ya udsm utajua kila kitu ya mzumbe almost imebase katika finacial,economy issues bt udsm na sua general social issue na little bit economic issue
Zimetajwa nchi zenye Vyuo Vikuu vingi na bora zaidi duniani.. Afrika ni ya Mwisho:
Zimetajwa nchi zenye Vyuo Vikuu vingi na bora zaidi duniani.. Afrika ni ya Mwisho - millardayo.com
Mtoa mada amekurupuka wadau fatilia nchii zilizoendelea au zingne utoaji wa elimu had leo ndio uje kuhitimisha kwa kisema huwa hawatoi o hawasomeshi wanafunzi wao
Haina haja ya kubishana sawa chuo kinapimwa na lecturers,facilities na research only habar ya umbal haipo kweny vigezo na mwisho n borq kpo rank ip? Mwisho kila mtu huwa anavutia aliposoma kweny hz hoja ndg
Kaka kwel ufaham ndg maana point zako n za kujirudia karibu 3 kikubwa kwenye chuo ukiacha facilities n RESEARCH na zina impact gan kwa jamii chuo km hakina research wordwide hakiwez kuwa bora zaid ya vyuo ambavyo n bora
Huyu jamaa huwaga anaongea sana upuuzi kuhusu kazi za watu na walichosoma na kuna kakuuliza ulisema umesoma COET hw now CASS uache utoto wewe n masikini wa akili na kujikweza na inaonyesha hujaelimika sasa kaa mtaani ule msoto mpuuzi wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.