UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

UDOM ndiyo chuo bora Tanzania

Zipo sababu Nyingi unaweza kutumia kupima Ubora wa kitu Lakini kikubwa ni Kwamba Kifit Preferences Nyingi za kuweza kuitwa Bora and UDOM Fits most of those Preferences!!

1.MAHALI(LOCALITY)
Kipo dodoma ambayo ndo Habari Ya mjini sasa Hivi alaf Geographically kama tunavyojua dodoma Ipo katikati Ya Tanzania hivo Usafiri sio changamoto kwenda Muda wowote unaotaka kwenda Plus Fact Ya Kuwa dodoma Is Now Growing kinaipa Fursa Kubwa sana in terms Of services.

2.GHARAMA ZA MAISHA(COST OF LIVING)
Unlike Vyuo karibia Vyote Tanzania UDOM Ina cost ndogo za Maisha,tukianza Na Fact kuwa Kuna Hostels Mia Kidogo za wanafunzi kulala where u Just pay 5oo/- kwa siku which is More than Enough,alaf misosi Yenyewe Iko cheap Kinyama Yaan starting from 1ooo/- ambapo Unakula na kushiba Kabisa kuna villages za wajasiriaMali along the university ambapo unapata vitu mbalimbali kwa Bei Ya Nyanya.

3.VIFAA VYA KIMASOMO(EDUCATION FACILITIES)
Kila College Ina Maktaba Yake na Labaratories ambapo unakuta Materials mbali mbali za considering the Fact Kuwa ni cha Juzi Juzi Facilities Bado zipo katika Ubora wake Unlike Vyuo Tangia enzi za Nyerere na Mitaala Ya nchi Hii inayobadilika havipo Updated Kabisa,na due to wingi wa Colleges ukipita Kila Maktaba hutakosa unachotafuta.Pia kuna Buses za Chuo Just Incase kuna Trip Yoyote

4.VIFAA VYA KIMICHEZO+RECREATION
Kila college Ina kiwanja chache cha Mpira,basketball na Volleyball infact vya hii michezo ni viwili viwili ni some colleges na Mpka tennis courtYards Pia zipo nets,mipira na Facilities zingine sitaki kuongelea Maana huwezi Kujenga viwanja viwili viwili alafu ukakosa Mipira,Kuna Club Kuntu pale Humanities kwa wale wapenda Bata,kuna swimming Pool pia Just costs 3000 kwa wanafunzi

5.MADHARI(ENVIROMENT)
Udom Ina Mazingira Bora sana especially kuanzia February to september kuna milima na mabonde Ya kutosha tu kifupi the view is Just Perfect,na kutokana na baridi Ya usiku hamna mbu kabisa,kimajengo sihitaji kuongelea maana watu wanasomea kwenye Bunge la zamani alaf Yapo mengi Mpka Yanazidi Mengine Yanaazimwa kabisa na serikali

5.UMBALI KUTOKA MJINI.
Sio zaidi Ya 8km nauli ni 400 na mabasi Yapo pale pale Chuo kwaio Usafiri sio Kero hata kidogo any time Of the day unafika tu Pale chuoni without hurting ur head Yaan huwazi sana

6.QUALITY YA ELIMU.
Ipo kawaida tu kama chuo chochote Kile hapa nchini kuna lectures wa kutosha na Pia kuna hata new courses zimeanzishwa hapa ambazo huzipati kwenye vyuo vingi Tanzania baada ya serikali kuona haja alaf Pia masomo kama chinese ni Free kabisa kusoma no Charges wachina wapo pale wanafundisha and people Go to china every Now and Then
Source: Profesa Ibrahim haruna lipumba
 
Hivi udom umeanza kwa kusema chuo bora mkuu naomba kukuuriza swari ni cha ngapi kwa ubora africa
Oooohh chuo cha ngapi kwa vigezo vipi, kwa sababu kila ranks za vyuo zinazotoka huwa kuna specific criteria zinazokuwa regarded...ila wa tz tuna shida sana yaani tuna shida sana mimi najua mind set za watu juu ya UDOM.hata mimi before niliaminishwa kiwa udom si chuo kizuri hakuna walimu na ni shida mwanzo mwisho hakuna maji lakini baada ya kwenda pale hakika nikajua ukweli kuwa ni chuo kizuri mno hasa mazingira ya kusomea kwa ujumla na makazi.niakagundua kuwa wale walioniaminisha vibaya hata dodoma hawapajui kabisa na chuo ndio kabisaaa.....utasikia nikiambiwa na flani sio chuo kizuri hata huyo aliemwambia nae kaambiwa na mwingine.... JAMANI MIMI NIMUHITIMU WA PALE UDOM KILA NILIPOKUWA NIKITEMBELEWA NA WENZANGU KUTOKA VYUO VINGINE WALIVUTIWA SANA NA CHUO JINSI KILIVYO NA PROGRAM ZINAVYOENDESHWA PALE NA WENGINE WALIJUTIA KUTO CHAGULIWA UDOM wakiwemo hata waliokiuwa wakisoma UDSM walipokuwa wakipitia pale kutusalimia hasa kwa wale wa mwanza,kagera na mikoa ya singida na shinyanga.....ila niwaombe mjue kuwa kuna kama kautani ka jadi hivi kati UDOM na UDSM... Nje ya hapo ni vigumu kuona mtu wa chuo kingine kukiongelea vibaya UDOM..
 
Oooohh chuo cha ngapi kwa vigezo vipi, kwa sababu kila ranks za vyuo zinazotoka huwa kuna specific criteria zinazokuwa regarded...ila wa tz tuna shida sana yaani tuna shida sana mimi najua mind set za watu juu ya UDOM.hata mimi before niliaminishwa kiwa udom si chuo kizuri hakuna walimu na ni shida mwanzo mwisho hakuna maji lakini baada ya kwenda pale hakika nikajua ukweli kuwa ni chuo kizuri mno hasa mazingira ya kusomea kwa ujumla na makazi.niakagundua kuwa wale walioniaminisha vibaya hata dodoma hawapajui kabisa na chuo ndio kabisaaa.....utasikia nikiambiwa na flani sio chuo kizuri hata huyo aliemwambia nae kaambiwa na mwingine.... JAMANI MIMI NIMUHITIMU WA PALE UDOM KILA NILIPOKUWA NIKITEMBELEWA NA WENZANGU KUTOKA VYUO VINGINE WALIVUTIWA SANA NA CHUO JINSI KILIVYO NA PROGRAM ZINAVYOENDESHWA PALE NA WENGINE WALIJUTIA KUTO CHAGULIWA UDOM wakiwemo hata waliokiuwa wakisoma UDSM walipokuwa wakipitia pale kutusalimia hasa kwa wale wa mwanza,kagera na mikoa ya singida na shinyanga.....ila niwaombe mjue kuwa kuna kama kautani ka jadi hivi kati UDOM na UDSM... Nje ya hapo ni vigumu kuona mtu wa chuo kingine kukiongelea vibaya UDOM..
..Bora Hata Umesema Mkuu
 
Ubora wa chuo cha Dodoma unakwamishwa na udini katika Taifa letu,Kiukweli Udom ni chuo bora lakini si kwa kulinganishwa na vyuo vikongwe nchini,Vipo vyuo ambavyo ukitajiwa lazima uogope tangu hapo nyuma na mpaka leo hii kama vile Mzumbe na SUA ila hivyo vingine tukiacha unafiki vinabebwa na Ukongwe lakini sio ubora wa Taaluma,Mfano mtafute mwanaIT wa Udom umuweke na wa Udsm huyu wa Udsm lazima atafute njia kwa kuwa Udom kitivo cha IT kiko poa sana na ndio maana nguvu nyingi sana inatumika kukishusha hiki chuo na imefikia wakati leo hii karibu kabisa na Udom kuna majengo yanaendelea kujengwa kama chuo ili tu kukififisha chuo hiki cha Udom(karibu na CCM convection kuna majengo yanajengwa ni chuo chini ya Ukristo).
Lakini pia Chuo kikuu cha Dodoma huenda kikawa ni Chuo pekee kilichonyimwa fursa ya kuwa na international university partners,chuo hiki hakina hata partner mmoja zaidi ya Microsoft kudhamini kitengo cha IT na ndio jamaa wako fiti mno.
Mimi nafikiri serikali ikiamia dodoma vyuo vikongwe vitatafuta pa kujificha maana maprof.watahitaji kukaa na serikali yao kwa ulinzi na usalama wao.
Ni maono yangu kama MchivuWaFikra.
 
Ubora wa chuo cha Dodoma unakwamishwa na udini katika Taifa letu,Kiukweli Udom ni chuo bora lakini si kwa kulinganishwa na vyuo vikongwe nchini,Vipo vyuo ambavyo ukitajiwa lazima uogope tangu hapo nyuma na mpaka leo hii kama vile Mzumbe na SUA ila hivyo vingine tukiacha unafiki vinabebwa na Ukongwe lakini sio ubora wa Taaluma,Mfano mtafute mwanaIT wa Udom umuweke na wa Udsm huyu wa Udsm lazima atafute njia kwa kuwa Udom kitivo cha IT kiko poa sana na ndio maana nguvu nyingi sana inatumika kukishusha hiki chuo na imefikia wakati leo hii karibu kabisa na Udom kuna majengo yanaendelea kujengwa kama chuo ili tu kukififisha chuo hiki cha Udom(karibu na CCM convection kuna majengo yanajengwa ni chuo chini ya Ukristo).
Lakini pia Chuo kikuu cha Dodoma huenda kikawa ni Chuo pekee kilichonyimwa fursa ya kuwa na international university partners,chuo hiki hakina hata partner mmoja zaidi ya Microsoft kudhamini kitengo cha IT na ndio jamaa wako fiti mno.
Mimi nafikiri serikali ikiamia dodoma vyuo vikongwe vitatafuta pa kujificha maana maprof.watahitaji kukaa na serikali yao kwa ulinzi na usalama wao.
Ni maono yangu kama MchivuWaFikra.
..Asante Mkuu
 
Back
Top Bottom