Unatakiwa kujua si kila ndege inayoruka Black Sea inatakiwa kupigwa. Iko mipaka ya kimataifa inayoruhusu kila ndege kupita hata kama wewe unayo unaruhusiwa kupitisha.
Bali itashushwa tu endapo itavuka mipaka hiyo hata kwa mm 1
Tatizo la kujizima ni betry kama ulivyoshauriwa na chief. Nilinunua note 5 November 2014 wakati zinaongia sokoni lakoni hadi sasa ni mara 3 nimebadili betri kwa tatizo hilo kama lako
Sent using Jamii Forums mobile app
KWa wakazi wa mwanza mnaweza kuwa mashahidi bill ya maji ya July 2019 imeongezeka mara dufu. Nimeenda kuulizia kituo cha buzuruga nimeambiwa bei per m3 imeongezeka kutoka 700 hadi 1225! Karibu mara 2 ya bei ya zamani
Kuweni na huruma jamani mkumbuke mshahara haujaongezeka hata cent 5
Habari ya asubuhi wana jf.
Napenda kupata ushauri ninunue generator ya Kv ngapi inatayoniwezesha kupata mwanga na matumizi mengine ya nyumbani kwa kipindi hiki make umeme bado haujafika ktk eneo hilo ila imenibidi nihamie kwangu hivyo hivyo
Naomba ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.