Recent content by Buhamila

  1. Buhamila

    Ona Rais Zelenskyy anavyotiwa ujinga

    Kwa mtu mwenye akiri hawezi sifia
  2. Buhamila

    Ndege za mbili za Marekani zatimuliwa baada ya kutaka kuingia eneo la Urusi

    Unatakiwa kujua si kila ndege inayoruka Black Sea inatakiwa kupigwa. Iko mipaka ya kimataifa inayoruhusu kila ndege kupita hata kama wewe unayo unaruhusiwa kupitisha. Bali itashushwa tu endapo itavuka mipaka hiyo hata kwa mm 1
  3. Buhamila

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Unashangaa hayo, mbona hushangai Israel akisaidiwa na mmarekani wamegonga mwamba kwa palestrina
  4. Buhamila

    Samsung Soundbar T650

    Naomba msaada kwa mwenye kuijua vizuri sound bar tajwa hapo juu ubora wake na madhaifu yake Ahsanteni
  5. Buhamila

    Nini Tatizo kwenye hii Samsung Note 4

    Sorry note 4 not note 5 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Buhamila

    Nini Tatizo kwenye hii Samsung Note 4

    Tatizo la kujizima ni betry kama ulivyoshauriwa na chief. Nilinunua note 5 November 2014 wakati zinaongia sokoni lakoni hadi sasa ni mara 3 nimebadili betri kwa tatizo hilo kama lako Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Buhamila

    Nini Tatizo kwenye hii Samsung Note 4

    Laki saba! Hiyo ilikuwa fake. Note 4 wakati zinaingia 2014 bei ilikuwa 1.5m Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Buhamila

    Mamlaka ya maji Mwanza mnatuumiza wanyonge

    KWa wakazi wa mwanza mnaweza kuwa mashahidi bill ya maji ya July 2019 imeongezeka mara dufu. Nimeenda kuulizia kituo cha buzuruga nimeambiwa bei per m3 imeongezeka kutoka 700 hadi 1225! Karibu mara 2 ya bei ya zamani Kuweni na huruma jamani mkumbuke mshahara haujaongezeka hata cent 5
  9. Buhamila

    Msaada.; Smart tv ya bajeti ya 550,000

    Unatisha mkuu, heshimu na hiyo picha iliyokwenye profile yako
  10. Buhamila

    Generator nzuri kwa matumizi ya nyumbani

    Habari ya asubuhi wana jf. Napenda kupata ushauri ninunue generator ya Kv ngapi inatayoniwezesha kupata mwanga na matumizi mengine ya nyumbani kwa kipindi hiki make umeme bado haujafika ktk eneo hilo ila imenibidi nihamie kwangu hivyo hivyo Naomba ushauri
  11. Buhamila

    Mapambano makali yanaendelea Kusini Magharibi mwa Rwanda

    Dawa ya madiktata inaanza kuchemshwa
  12. Buhamila

    Rais Magufuli huenda anarudia makosa ya Kikwete!

    Hahaha kweli hujitambui
Back
Top Bottom