Nini Tatizo kwenye hii Samsung Note 4

Nini Tatizo kwenye hii Samsung Note 4

Mie natumia galaxy j7pro, lakini baada ya ku update kutoka Android 7 kwenda Android 9 camera 📸 imekuwa hovyo, flash imekuwa off mwenye kujua ufumbuzi wa tatizo hili anisaidie, nifanye nini camera irejee kwenye ubora?
 
Mimi hilo tatizo lilinikumba..nikaja gundua tatizo ni memory card ilikuwa na virus.nilivyo ichomoa tu mpaka leo simu iko poa.yaani haija sumbua tena.ina weza kaweka file lenye virus.
 
note 4 hadi leo nitailaani maana niliitumia miezi6 tu ikaanza kuingia.nilipoipeleka kwa fundi haikupona hadi wa leo ipo kwa fundi.laki7 yangu sijawahi kuisahau.,s series hazijawahi kuniangusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom