Msaada.; Smart tv ya bajeti ya 550,000

Msaada.; Smart tv ya bajeti ya 550,000

Maisha tunatofautiana watu tunazungumzia SAMSUNG QOLED na LG QOLED watu mnazungumzia takataka kama Hisense, Boss, Skyworth, n.k
Lol kweli wewe ni troll.
Na inaonyesha umeona tv uzeeni.
 
Kwani QOLED za lini we Kitobo? Nakumbuka mwaka 1995 tulivamiwaga home wakaiba TV tuu unaweza kuwa bado hujazaliwa kipindi hicho.
Hahaaa wewe ndo kitobo tena unacho kikubwa kichwani.
Naongelea the fact kwamba umekuja kuzijua tv uzeeni cause brands za tv nzuri unazozifahamu ni Samsung na LG tu.
Hayo mambo ya QLED na OLED siyo mapya kama unavyodhani.
 
Hahaaa wewe ndo kitobo tena unacho kikubwa kichwani.
Naongelea the fact kwamba umekuja kuzijua tv uzeeni cause brands za tv nzuri unazozifahamu ni Samsung na LG tu.
Hayo mambo ya QLED na OLED siyo mapya kama unavyodhani.
Sasa kwa Sasa ninunue Boss, Skyworth, SingSang, mi mwanafunzi wa Chuo?

Kwa Hadhi yangu SAMSUNG, LG na SONY tuu ndo zinaendana na Mimi
 
Hahaaa wewe ndo kitobo tena unacho kikubwa kichwani.
Naongelea the fact kwamba umekuja kuzijua tv uzeeni cause brands za tv nzuri unazozifahamu ni Samsung na LG tu.
Hayo mambo ya QLED na OLED siyo mapya kama unavyodhani.
Kama Siyo Mapya Je mwaka 2015 Kulikua na QOLED? au Wewe ndo mgeni huko Unakoendaga Kugongwa kila Weekends ndo unakutaga Brand choka mbaya au? Vumilia Hivyo Vivulana vyako broke havina fedha za Kununua LG 55"QOLED au Samsung Mtaishia kwenye SingSang 55inch Kwa Sh 600,000
 
Kama Siyo Mapya Je mwaka 2015 Kulikua na QOLED? au Wewe ndo mgeni huko Unakoendaga Kugongwa kila Weekends ndo unakutaga Brand choka mbaya au? Vumilia Hivyo Vivulana vyako broke havina fedha za Kununua LG 55"QOLED au Samsung Mtaishia kwenye SingSang 55inch Kwa Sh 600,000
Unatisha mkuu, heshimu na hiyo picha iliyokwenye profile yako
 
Skyworth iko poa zaidi
1559925750204.jpeg
 
Mkuu tafuta TCl ndio mchina mwenye afadhali..lakini hizo sykwalker sijui nini utakuja kujuta tu
 
Vp upatikanaji wa spare, Je wanà agent hapa bongo..
Wakat nanunua tv niliconsider factors nyinginyingi
Kwa hapa Bongo sijui! Ila online store zipo kibao. Sio kitu cha kusumbua kwa dunia ya leo.
 
Back
Top Bottom