Waliokuja kutafta msaada wa ukombozi ni viongozi wao,na hawakuja kuloea huku,walikuja na kurudi kwao,sasa kwann sisi tunakuwa vinga'nganizi kwenye nchi yao? Na hata hao waliokwenda huko,wengi ni wazamiaji hawakufuata sheria,leo hii unataka waafrika kusini wafuate sheria kwa kuwaondoa? Waondoke...