Mlivyoingiza watu wakaja kupifa raia na polisi risasi ili msingizie serikali mlifikiri watu ni wajinga na wavuta bangi kama nyinyi? There is no hurry,mtafika mahakamani tu.
Tulie ili iweje?
1.Tanzania haijwahi kujitangaza kwamab ina mpango wa kujenga refinery hkwa kushirijiana na nchi za EAC!
2.Tanzania haijwahi kumfuata Dangote kwamba ajenge refinery TZ.
3.Ruto ndio alianza kuropoka ropoka kuhusu refinery mpka tukamshangaa!
By the way,sisi tunaweza kutafta njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.