Ni kweli MAKAH uanikaji wa hapa dagaa wa ziwa Victoria imekuwa nikikwazo ila kama ulivyosema na kama kigoma wanavyofanya ndivyo nafanya tofauti yake ni ukubwa tu basi!
BARIBU hata sample utaletewa ukitaka!
Wadau wajasiriamali! nawasalimu!
Nimefanya utafiti na kupata jawabu kuwa watu wanachukia dagaa wa ziwa victoria kwa vile wanaandaliwa katika mazingira machafu na wanakuwa na uchafu! Nimeweka miundo mbinu yakuanika juu ya chanja na kuwatreat kidogo kwa mbali na chumvi kwa ukweli yeyote anaweza...
Hivi tuwe fair kwa upuuzi unaofanyika pale ndani waonyeshe nini? Walaumu wapigaji(CCM) walioshindwa kuweka vifaa vya kielectronic kwa ajili ya kupigia kura!!!
Ili linchi CCM basi wote tunaonekana wapuuzi! Hivi inawaingia akilini wametumia 8.2 billion kukarabati na wameshindwa kufunga electronic voting system!!! BWANA EHE NIMESIGN OUT KUANZIA LEO MIMI SIWEZI KUWA MPUUZI( MEANING NIMEJIVUA URAIA KWA HIARI YANGU PERIOD)
Nawaunga mkono kwani siku moja nilipita pale buzuruga kweli nchii haina wasomi kabisa!! wameweka kistand utafikiri ni cha kuegesha tax 2? Yaani huyu engineer wa jiji inabidi awajibike! TOO PATHETIC!
Mimi leo nimekubali wenyewe wanasema speechless! Hivi kumbe DR Slaa nimchumi hivi? Leo kashusha nondo za uchumi wa mtu mdogo ambaye wakoloni weusi wametubatiza jina la wananchi wa kawaida kama vile wao ni Alliens!
Nimejiona tajiri japo sina hata mia mfukoni na natembea kwa muguu kuelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.