Maandamano makubwa ya CHADEMA-ARUSHA

Maandamano makubwa ya CHADEMA-ARUSHA

Leo jumapili nendeni kanisani maandamano hayatawasaidia chochote mmeishajiuliza toka muanze kuandamana maandamano yamewasaidia nini.

Maneno yako Ritz ni dalili tosha ya dola kandamizi kudondoka. Hawa wanaokatwa mapanga wana ndugu zao wakaribu wanaowategemea ambao ni CCM pia.
 
Last edited by a moderator:
Hatuwezi kukopesha maisha yetu kwa watu kisa sheria mbaya za nchi, polisi anataka kusaidiwa wakati kikosi kinafanya mambo vivy isiyo

chadema wamekatana mapanga wenyewe baada ya kudhulumiana mgao wa viroba...! shame on them...!
 
wanabodi
CHADEMA Arusha wataandamana Jumanne ya wiki ijayo kupinga wanachama wao kukatwa mapanga na akna Mjusi na Mojaa wa ccm,pia watalaani na kupinga polisi kushirikiana ccm kuwakandamiza
Tangu kampeni za Sombetini zianze wanachama wa chama hicho kikuu cha upinzani wapatao 8 wamekatwa mapanga na ccm mbele ya polisi bila hatua yoyote kuchukuliwa dhidi ya wahalifu hao
Duru kutoka kwaviongozi wa Jeshi la polisi zinadai kuwa OCD na RPC wapo kinyume cha CHADEMA hasa baada ya tuhuma nzito kuwa wao ndio waliopiga bomu Soweto Juni 15

Kwanini msijilinde!!!?maandamano hayatawasaidia kitu,kinachonishangaza mtu mnayedai anafanya huo utemi mnamjua lakini mnaendelea kupiga kelele!!!kwani kwake analindwa na kikosi cha jeshi!!uoga mwingine ni ujinga.
 
Maneno yako Ritz ni dalili tosha ya dola kandamizi kudondoka. Hawa wanaokatwa mapanga wana ndugu zao wakaribu wanaowategemea ambao ni CCM pia.
Mimi huwa najiuliza sana pro-Chadema wote hapo Arusha mnamuogopa sana huyu Mjusi mnashindwa kupambana nae.
 
Last edited by a moderator:
Kwanini msijilinde!!!?maandamano hayatawasaidia kitu,kinachonishangaza mtu mnayedai anafanya huo utemi mnamjua lakini mnaendelea kupiga kelele!!!kwani kwake analindwa na kikosi cha jeshi!!uoga mwingine ni ujinga.

mzee wa zambi ya uoga lema akimuona mjusi anaenda kujificha kwenye mabanda ya kitimoto lema muoga sana...
 
Mimi huwa najiuliza sana pro-Chadema wote hapo Arusha mnamuogopa sana huyu Mjusi mnashindwa kupambana nae.

mjusi ni zaidi ya wanachama na wapenzi wote wa chadema arusha...na ndio msimamiz wa uchaguz wa udiwani..sasa makamanda sijui mtatokea wapi
 
Maneno yako Ritz ni dalili tosha ya dola kandamizi kudondoka. Hawa wanaokatwa mapanga wana ndugu zao wakaribu wanaowategemea ambao ni CCM pia.

nyie achani kudangaya watu mnamwagia watu tindikali na kupiga hovyo halafu mnaanza kusingizia wengine oneni aibu dhambi zitawafuata kokote mliko hata iweje.
 
Kwanini msijilinde!!!?maandamano hayatawasaidia kitu,kinachonishangaza mtu mnayedai anafanya huo utemi mnamjua lakini mnaendelea kupiga kelele!!!kwani kwake analindwa na kikosi cha jeshi!!uoga mwingine ni ujinga.

ushauri wako wakijinga hata hauna chembe ya kutatua tatizo badala yake unaongeza tatizo tatizo la chadema wanaona vurugu ndiyo jambo la maana kwao.
 
mjusi ni zaidi ya wanachama na wapenzi wote wa chadema arusha...na ndio msimamiz wa uchaguz wa udiwani..sasa makamanda sijui mtatokea wapi
Haya maandamano Chadema wameyaitisha kwa ajili ya Mjusi?
 
ushauri wako wakijinga hata hauna chembe ya kutatua tatizo badala yake unaongeza tatizo tatizo la chadema wanaona vurugu ndiyo jambo la maana kwao.

Nadhani anayefanya hayo matukio si chizi!!na hayo maandamano yao mwisho wake wake si ajabu yakaibuka mauaji,lipi bora maandamano au kupambana na chanzo cha tatizo.
Kumbuka tumeshaambiwa kuwa hao watu walishashtakiwa mara nyingi polisi ajabu wanaoenda kushitaki wanalazwa ndani na majeraha yao,sasa watu waende wapi,naomba ushauri mkuu manake wangu ni wa kijinga!!!
 
Leo jumapili nendeni kanisani maandamano hayatawasaidia chochote mmeishajiuliza toka muanze kuandamana maandamano yamewasaidia nini.

Hata kusoma huji au uelewi? Nani kasema maandamano ni leo? naona bwana yako mwenye ulewa kama wewe kakupa like! pole chooni!
 
Kuna siku kauli zetu hizi tutazikataa, takae tukijua watanzania wanatafuta wakumfunga paka kengele,siyokurudisha imani kwa ccm ilo watawala wakae wakijua kabisa, ccm mtabaki mkiwalaumu chadema kumbe mambo yote haya mnayataka wenyewe
 
IGP mpya safisha jeshi lako na tuhuma hizi za uhalifu maana aiwezekani waalifu walindwe na polisi hapo kuna walakini
 
Hata kusoma huji au uelewi? Nani kasema maandamano ni leo? naona bwana yako mwenye ulewa kama wewe kakupa like! pole chooni!
Na wewe unamuogopa Mjusi ukimuona hata kwa mbali lazima ukimbie.
 
Back
Top Bottom