Ila akiwa ndani ya serikali ni kuharbu tu mfano mdogo inshu ya mafuta walioharbu ni wasomi walioko ndani ya serikali alafu wasomi walioko nje ya serikali wanawapinga kuwa hapa mnaharbu
Duh kwahiyo huko serikalini hakuna wasomi mkuu mbona wapo wengi tu mpaka wengne wana Phd nao ni walewale tu ok ila kufkiri ni bora zaidi ona sasa ulichokiandika
Endeleeni kujenga matabaka tu wapo watu wanafunzi waliofadhiliwa, waliosaidiwa,wapo ambao wazaz wameuza aseti zao kama mashamba, mifugo, hata nyumba zao za urthi ili tu wawawekee watoto wao misingi iliyobora kwa kuamini huko juu mkopo upo alafu pia huo mkopo anakopeshwa mtoto na sio mzazi...
Ndugu uko sawa kwa mtazamo wako lakini ebu chukulia wewe ni mzazi alafu miaka yote ktk nchi hii inajulikana ukifika chuo kuna mkopo hvyo wewe kama mzazi ukasema ujikaze ufanye juu chini umjengee mwanao msingi mzuri huku chini ikiwa juu mkopo upo basi ukauza hata mashamba au mifugo yako ili tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.