kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Hakika Klabu ya WANANCHI YANGA kwa hiari yake Leo imeukabidhi Ubingwa wa Kandanda Tanzania Bara lea Klabu ya Simba.Yanga imeutema ubingwa huo baada ya kipigo kutoka lea Klabu ya Prison ya Mbeya.NawaombaMabingwa wapya kuendelea kusaka Pointi zilizobaki kwa KASI ile ile."This is Simba "