Kumbe ndio mana unajiamimi aisee ni mdau wa Haya mambo? Kweli utajili ni kuamua tu
Let's keep up acha wauze wengine ndio kwanza tunanunua magunia ya coin
Nazani ni wazo la msingi sana hajalishi upo mkoani au wapi kama una nia ya dhati basi kitabu utakipata tu
Wazo langu pia cheki stationary inayofikika kirahisi na ya kuaminika mana wapiga dilii hawakosekani unaweza kukuta bei imepanda Kisa demand imekua kubwa so ni jambo la busara kuwahi pia...
Na Mimi nime replay ili kukuokoa Mkuu usiwe wa mwisho sasa Uko reply tu saiz utakua wa mwisho kweli[emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sio kitu kimoja
Tax evasion is a crime mana ni ukwepaji wa kodi kwa maksudi ila tax avoidance ni halali kisheria
Yani kwa mfano wewe una nagari mawili ila una umwezo wa kulipia kodi gari moja sasa basi
Nafanya tax evasion maana yake utalipia gari moja lakini la pili utaendelea kulifanyia...
Daaah Mkuu umeanza na interview hapa hapa[emoji1] [emoji2] [emoji3]
Ila its true tax evasion is a crime and the guilty part is liable to fines and/or imprisonement
Nimemaliza ifm bachelor of taxation
Kazi za Kodi nilizowahi kuzifanya ni kama
Kuwaelimisha wafanyabiashara kuhusu elimu ya kodi
Kutengeneza tax returns
Kufanya assessment na zinginezo
Nimeishi mikoa kama Dodoma,singida,Mbeya,Tabora na Dar es salaam ambapo ndio mwenyeji zaidi
Mahitaji ni...
Aisee ile kozi Haina maslahi Mkuu bora hata waibadilishe jina mana hata mabosi hawaijui bara hata Waite bachelor of taxation with accounts mana ikibaki taxation aisee hakuna kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.