kingine mkuu katika biashara kuna mambo matatu ambayo kabla hujaanza biashara yko inabidi ujiulize
-focus
-cost leadership
-differention
focus n zile sim zenye soko sehem fulan kama tecno wamefocus Africa
cost leadership nao tecno tena cheap production cheap uuzaji wa bidhaa zao
differention hao ndo i phone haijalish katika mazingira gan bei haishuk hapa brand inamata zaidi mfano mdogo maji ya kilimanjaro tanzania ni maji tu lkn ndo yanabei kubwa hyo n brand
Kilimanjaro siyo maji kama uhai na wengine , angalia Ph yake utagundua kwamba ni maji masafi (pure water ) kuliko maji mengine


