Suala la uzalendo kwa taifa ni cross cutting linalohusisha mambo mengi.
Huwa naishiwa PAWA na inaniuma sana nikiona au kusikia kuna mtu katupiga halafu ananunua gari sijui la bilioni ngapi.Au mwingine anatorosha pesa kabisa nje ya nchi.
That is not fair na mimi roho huwa inaniuma zaidi zaidi...
Hili ni bandiko la ki utu uzima toka kwa kaka Paskali.Unapaswa uwe na jicho la tatu kuuelewa uzi huu.Kama huwezi kuisikia the voice within,nakushauri upite tu kimya kimya au urudie kusoma taratibu neno kwa neno kilichoandikwa pengine unaweza kuelewa.
Mada nzuri sana na imenigusa.Katika kampun 3 nilizofanya kazi,nilikuwa napata kibali sana lakin mwisho wa siku naishia kuchukiwa na kupigwa mqjungu na kuamua kuondoka mwenyewe.Somo linahitajika kwa wengine kujifunza ku manage postive energy zao.
Fika ofisin kwao wakueleweshe hatua kwa hatua.Wana formula zao za kushangaza sana hasa ukiugua mfano hautapata pesa yoyote eti hadi ipite 18 months baada ya hizo 6 months za malipo(33%) uliyokuwa unapokea kila mwezi.Nchi hii watunga sheria huwa hawaangalii kabisa uhalisia wa vipato vya watu...
Fika ofisin kwao wakueleweshe hatua kwa hatua.Wana formula zao za kushangaza sana hasa ukiugua mfano hautapata pesa yoyote eti hadi ipite 18 months baada ya hizo 6 months za malipo(33%) uliyokuwa unapokea kila mwezi.Nchi hii watunga sheria huwa hawaangalii kabisa uhalisia wa vipato vya watu...
NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili.
Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya...
Kama una discipline ya pesa.Usianzishe kampuni wala biashara formal.Utapigwa kodi na usumbufu juu.Mazingira ya biashara hapa kwetu kutoboa labda ukwepe kodi au ufanye biashara ya magendo jambo ambalo sikushauri.Mikoa uliyotaja ya Kahama au Geita,watu ndo wanavuna mazao this time around.Nunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.