Sawa Sheria ifuate mkondo lkn Kwa kipindi hiki mahakama zetu zinanukia kabisa kuua uzalendo wa kuaminika na jamii ktk utoaji haki Yani wanasikiliza maelekezo zaidi kuliko kujisimamia Kwa misingi ya Sheria na miongozo kwa mujibu wa katiba
Spana zitaendelea tu hatoki mtu kwenye reli Kwa sababu tunataka kuona utekaji ukikomeshwa na pia uwajibikaji Kwa viongozi walioshindwa waachie nafasi izo waje wengine wenye kulinda raia na Mali zao
Bunge tu halina ushawishi ata wa kulifuatilia kiukweli anapotupeleka anajua yeye maana ata wanachama wenzie hawamuelewi anakowapeleka wameamua kuzingatia kaz zao wasitumbuliwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.