Recent content by Brytonzablon

  1. Brytonzablon

    Hivi bado kuna watu wanaolipa mamilioni ya mahari hata sasa?

    Wapo kuna jamaa ameambiwa atoe milioni 2 et anatoa mwezi huu ujao kisademu amemaliza chuo mie stoi na mke ana master sijatoa hata mia
  2. Brytonzablon

    Hivi inakuaje dume zima linalalamika mtandaoni kuchukuliwa mwanamke wake?

    Sasa ujue inauma MTU akisha mzoea mwenzi wake akute au asikie MTU ana mchukua acha kitu nafsi kinauma
  3. Brytonzablon

    Hivi inakuaje dume zima linalalamika mtandaoni kuchukuliwa mwanamke wake?

    Hivi we ukute mume wako yuko na MTU mwingine ana sex naye utajisikiaje
  4. Brytonzablon

    Watoto wa uswazi wanafaa sana kipindi hiki

    Kumbe umesogeza kumbe hebu ni rushie na mie MWANZA
  5. Brytonzablon

    Natafuta mume mwenye VVU

    Hoooo ww ase
  6. Brytonzablon

    Watoto wa uswazi wanafaa sana kipindi hiki

    Huyo si wa kuoa ni shida MKUU atakufilisi ase mtaji wako wa chapati asupuhi
  7. Brytonzablon

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Yesu kwetu ni rafiki tenzi namba 9
  8. Brytonzablon

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Yesu kwetu ni rafiki tenzi namba 9
  9. Brytonzablon

    Kigwangalla aiagiza TAKUKURU imchunguze Nyalandu, amtuhumu kuipotezea Serikali mabilioni kupitia tozo za hoteli

    Yesu aliwahi kuwauliza umati ninani katiyenu hajawahi tenda kosa ampige huyu mama jiwe je kuna aliyetokea
  10. Brytonzablon

    Namna bora ya kuboresha makalio

    Umepewa kalio na mungu lidhika nalo si matako ya Asia na ulaya
Back
Top Bottom