Recent content by brytony marhs

  1. brytony marhs

    Hivi ukiuza kitu chako na ukapeleka pesa benki usalama wake uko vipi?

    huo huonevu mkuu, sioni chamaana kabisa. nasikia tuh pesa zinatoka ktk masector mbali mbali ila sioni kbs. .... ex. HOSPTAL ATA DAWA YA MTOTO UNAANDIKIWA UKANUNUE PHAMACNY TENA UKUTE HIYO HIYP PHAMA NI YAMZEE SHAYO.HAHAHAHA kwl watu weusi ni shida.
  2. brytony marhs

    Hivi ukiuza kitu chako na ukapeleka pesa benki usalama wake uko vipi?

    duh. hili kwangu ni geni sana. wacha tusikie kwa wanadungu hapa.
  3. brytony marhs

    Msaada: Mtoto wa miaka 2 ana homa kali na anaangalia upande

    dr anadai sio degedege kwasbabu haangalii makengeza .sasa nimemuuliza kwnn anaangalia upande anadai labd maumivu ya kichw
  4. brytony marhs

    Msaada: Mtoto wa miaka 2 ana homa kali na anaangalia upande

    Habari ya mchana ndugu zangu. Tafadhali naomba ushauri mtoto wangu yupo na miaka miwili ameumwa ghafla, homa kali akiangalia anaangalia upande. Hospital tumepima lakini hana ugonjwa je ndugu ni nini hiki.😥
  5. brytony marhs

    Natafuta kazi yeyote ya kupata chochote kitu

    Io ata Mimi natak mzee baba [emoji847][emoji847][emoji847] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. brytony marhs

    Kuhadithiana utamu kunawaponza wadada

    Kukaa kw mda alf kuandika hbr km hzo n ujuz mkubwa [emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. brytony marhs

    Hello

    Haha yes Mr. Your words is correct. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. brytony marhs

    Hello

    [emoji184]Duh,,,, 1 + kusudio n kujifunza zaid 2+ uyu jamaa wa mankotena ngoja tumfanyie uchunguz wa sir baada ya hpo majb utayasikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. brytony marhs

    new member

    Ahsante boss. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. brytony marhs

    new member

    [emoji12][emoji12] Shaur yko Dalili za umaskin hzo! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom