Kwani hutaki kulipa kodi?
Hichohicho unachoingiza kodi yako inahitajika si tumekubaliana ni mitano tena?inategemea unaingiza nn, kwa siku
Kwani una madeni ya kodi kwenye biashara/mishe zako nyingine?Mimi nina mpango wa kuuza shamba langu mahali lakini nasikia kwenye vijiwe vya kahawa kwamba pesa ikiingia tu unakatwa kodi juu kwa juu je ina ukweli hii?
Mkuu kwa mfano mwisho wa mwezi ndio naweka pesa bank kweny account yangu hawatonikata?inategemea unaingiza nn, kwa siku
Mhm kwa hiyo siku hizi benki hakuaminikiUkiziweka tu benki ujue umpelekea Bob Mazishi hutozipata Tena waulize wa bureau de change .
Ndo ivyo mkuu, ndo mana hela zinapotea mtaani kwa sababu kila mtu anaficha pesa zake kuogopa mambo kama hayoMimi fedha zangu zitakuwa ni za halali maana nimeuza mali yangu halali ninazomiliki kisheria na nimewahi mara kadhaa huko nyuma kuweka/kupokea fedha kama hizo na hata pale walipotaka kujua uhalali wa fedha nimekuwa nikitoa vielelezo hivyo haikuwahi kuniletea tatizo lolote isipokuwa katika awamu hii hakuna kipindi nimefanya biashara ya kitu fulani na kwenda kuhifadhi fedha benki sasa huku mtaani kuna maneno mengi yanazungumzwa na pia niliwahi kusoma mahala fulani kuwa kule tarime kuna watu wamelipwa fidia na mgodi wa nyamongo ikasemakana watu wa takukuru au DPP wakawa wanawalazimisha kuziachia vinginevyo watafunguliwa kesi za uhujumu uchumi sijui ukweli wake ukoje.