sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Nawewe kwa vile umetuhadithia utamu wao ngoja tuanze kuwatafuta hao wadada super market zote za tabata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaenda mpaka wazo kufuata demu.Huyo rais wako anafanya zaidi ya hayo
Hahaha kama nilishawahi isikia hii, alipotembea na wa kwanza alikua amevaa shanga, yule dada akaenda kuwaambia wenzake kwamba jamaa anavaa shanga, akaenda wa pili kuthibitisha akakuta jamaa hajavaa hiyo siku, ikabidi aende wa tatu hiyo siku jamaa anavaa tena.Kuna jamaa aliwahi kugegeda mabinti watatu wa familia moja.
Kisa alivaa shanga kwa mgegedo wa kwanza.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hito ni ajali kazini.Aisee umeamka salama lakini? Siku wakikuletea kaswende uje kuomba ushauri tukutafutie dawa za kienyeji.