Recent content by bryanrt01

  1. bryanrt01

    Dola moja ya Marekani kuwa sawa na Shilingi ya Tanzania 2,244/=, nini kinasababisha?

    Hizi akili za usiku, miaka mitatu ijayo au 2244.20 imedumu kwa miaka mitatu iliyo pita?
  2. bryanrt01

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Lakini haisaidii kulingana na hali iliyoko Tanzania kwa sasa, kwanza me nadhani hiyo barua imepuuzwa tu na haiwezi hata kujibiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. bryanrt01

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Ndo maana nikasema wafanye vitu ambavyo vitafanya sisi Watanzania kuamka kama hivyo kutunyima misaada na kadhalika Sent using Jamii Forums mobile app
  4. bryanrt01

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Ndo maana nikasema wafanye vitu ambavyo vitafanya sisi Watanzania kuamka kama hivyo kutunyima misaada na kadhalika Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bryanrt01

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Me naona Tanzania ya sasa hawawezi kwa sababu viongozi wa nchi hii kwa sasa hawapangiwi wakitaka kufanya chochote ndani ya nchi watafanya tu kwa sababu hakuna wa kuwapangia, nyie mliotuma hiyo barua mnajisumbua tu kwa sababu sioni kama itasaidia chochote, cha kufanya kama wanaweza kufanya kitu...
  6. bryanrt01

    Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

    Unahoji kama nani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bryanrt01

    Wakili Fatma Karume kuhusu kilichojiri polisi dhidi ya Lissu

    Inasikitisha ☹️☹️☹️ Sent using Jamii Forums mobile app
  8. bryanrt01

    WANAMME WA DAR MNA MATATIZO GANI?

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani tafiti zingine inabidi ucheke tu, ebu niambie walitumia njia gani kubaini hilo? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. bryanrt01

    Hii nchi ya viwanda na Kipanya

    Tunaenfelea vizuri kabisa nchi ya V wonder Sent using Jamii Forums mobile app
  10. bryanrt01

    Uko wapi uzalendo wa Tundu Lissu kwa Nchi yake?

    Ukitaka kujibu au kukosoa maneno ya Lissu uhakikishe unaelewa siasa ya Tanzania vizuri, kwako wewe sijaona hoja hata moja tu ya kujitosheleza Sent using Jamii Forums mobile app
  11. bryanrt01

    Sipati mchumba kwa sababu wananihisi vibaya

    Huku hakuna mkweli rafiki yangu utakachoambulia ni maumivu tu
Back
Top Bottom