Lakini haisaidii kulingana na hali iliyoko Tanzania kwa sasa, kwanza me nadhani hiyo barua imepuuzwa tu na haiwezi hata kujibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Me naona Tanzania ya sasa hawawezi kwa sababu viongozi wa nchi hii kwa sasa hawapangiwi wakitaka kufanya chochote ndani ya nchi watafanya tu kwa sababu hakuna wa kuwapangia, nyie mliotuma hiyo barua mnajisumbua tu kwa sababu sioni kama itasaidia chochote, cha kufanya kama wanaweza kufanya kitu...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani tafiti zingine inabidi ucheke tu, ebu niambie walitumia njia gani kubaini hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujibu au kukosoa maneno ya Lissu uhakikishe unaelewa siasa ya Tanzania vizuri, kwako wewe sijaona hoja hata moja tu ya kujitosheleza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.