Bashite wa leo ndio Manji, Ruge na Seth wa kesho

Bashite wa leo ndio Manji, Ruge na Seth wa kesho

Lumumba watakuia kusema dua la kuku halimpati Mwewe.
 
Dah..... Bado kuna viazi vingi sana humu... Mbona kaweka wazi kabisa.... Yeye sio kichaa... Amekwisha jitoa muhanga kwa sababu ya Watanzania waliokuwa Wanaibiwa... Na anakiomba kutoka kwao ni kumuombea tu... Mbona hamuelewi? Kila siku nye nye nye nye nye.... Mnataka afanye nini? Awaachie muendelee na upigaji wenu kisa hatakuwepo madarakani baada ya kipindi chake? Kafieni mbele bana
 
Kutoka ujengaji hoja mzuri kabla ya kubadili gia angani mpaka kuwa "nabii" wa kutabiri nani atakuwa nani??
Ama kweli JPM ni kiboko pia hii ni laana ya kubadili gia angani.
Laana hii itawatafuna mpaka mifupani.
 
Be the first to reply,
Ni sawa sawa na alivyokua Nape Nnauye enzi zake, ilikua kama CCM ndio yake vile, akitembea anajitutumua kisa tu Katibu Mwenezi anaembatana na GS Kinana kila mahali
Nape mpaka alinenepa Kama pipa, anatanguliza tumbo mbele na kudharau wapinzani sasa anasubiri bench
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mkuu umetazama kwa jicho la mbali sana. Ulevi wa madaraka, visasi, ubabe na upambe hauna mwisho mwema.
Jambo zuri ni kwamba tunajenga nchi ya visasi, tutayaona na kusikia mengi
Halafu kule Sengerema niliskia maneno ya MP Msukuma yakirudiwa" kama walivyomchukua mgombea wa dharura". Huwa wanalishana maneno ya kukejeli Wapinzani.
 
Kutoka ujengaji hoja mzuri kabla ya kubadili gia angani mpaka kuwa "nabii" wa kutabiri nani atakuwa nani??
Ama kweli JPM ni kiboko pia hii ni laana ya kubadili gia angani.
Laana hii itawatafuna mpaka mifupani.
Kiboko kwa lipi?
 
Sitakuja shangaa kina fulani wakitoweka usingizini
 
Halafu kule Sengerema niliskia maneno ya MP Msukuma yakirudiwa" kama walivyomchukua mgombea wa dharura". Huwa wanalishana maneno ya kukejeli Wapinzani.
Halafu wakijibiwa kwa hoja wanakuja na "haja" mipasho na kujionesha wao ndio wenye nchi kuliko wengine!!!
 
Kwenye visasi ni kweli kabisa.... yaani mimi ninavyoona watu wa upinzani wanavyoonewa hakika ni chuki kubwa sana inajengwa... na nivijana tu ndo wanayafanya haya ili kumfurahisha mkuu wetu.... kweli kabisa tumefikia huku?? Mkuu wa wilaya tu anaamua amsweke mtu ndani na inakuwa!!!! Daah Mokozi tuepushe na hili balaaa
Mungu anajua kila kinachotokea nawaonea huruma wale ambayo wanamwamini binadam badala ya Mungu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom