Mweeeeeeeeeeee wajameni, kama ninyi mlioko US mnapata machungu, je sisi tulioko hapa TZ?
Ningekuwa na uwezo, ningetafuta uraia wa nchi nyingine, hata hivyo bado hatujachelewa,
Hayo maandamano sisi tunawaombea yafanyike kama mlivyokusuadia, manake Tz imepoteza mwelekeo sasa.
Mungu tusaidie, Sikia...