Recent content by browwn

  1. browwn

    Kama umewahi kupiga au kupigwa kwenye mahusiano sogea hapa

    ila huoni kama alikupunguzia adhabu coz kwa kosa la kufumaniwa ilitakiwa akuache...au?
  2. browwn

    Kama umewahi kupiga au kupigwa kwenye mahusiano sogea hapa

    dah bc jamaa hongera yake kwakustuka mapema nakuepuka kugongewa..
  3. browwn

    Kama umewahi kupiga au kupigwa kwenye mahusiano sogea hapa

    duh pole bhn.., So ulikua unamnyima jamaa afu unaupa chiu mchepuko au sio, na vp baada ya kichapo uliachana na mchepuko, au uliendelea nao..
  4. browwn

    Msaada kwenye Excel..

    Jabari zenu wana jf, naomba kwa mwenye idea ya Excel anisaidie functions zinazoweza kunipa majibu ya swali hili; Qn; Fundraiser The third annual spring term “Care for Critters” fundraiser was a tremendous success! There were three posts for the event: a table in front of the Commons; a booth...
  5. browwn

    Kwa wanaume: 10 dirty things ambavyo mwanamke atakufanyia ili a-boost ego yake

    Hizi nadhani ni tabia hasa kwa wasichana wa umri kati ya miaka 19-23 coz wanajua bado wananaafasi kubwa yakufuatwa na wanaume wengi (umri unaruhusu), ila wenye umri kuanzia 24+ hawana maringo sana coz wengi wao wanakua na presha ya kuolewa...ndio maana wengi wao hua wanamegwa na kuachwa kirahisi...
  6. browwn

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Inaonesha una idea juu ya hii kitu mkuu, vipi, ilikujihusisha na hii biashara kuna hitaji lakua na app?, au unafungua account mtandaoni ili uwe na profile yako, Asante
  7. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Mkuu xplastaz nakushukuru sana... Ningependa kufahamu hio 110,000/= ni bei ya Mbeya au Dsm... Pili ningependa kufahamu huwa mna uza mpunga au mchele, kwamfano hio bei ni ya guniaa la mpunga au mchele? Tatu naomba kufahamu ni mazao gani mengine yanayolimwa hapo Mbalali, na je kuna umwagiliaji...
  8. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Uyole mkuu
  9. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Pamoja Mr Varius.. Natamani sana nitembelee maeneo hayo kwaajili ya kupata taarifa zaidi, na ninaimani ntafanya hvo soon saizi nipo nje kidogo Mbeya
  10. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Shoukran ndugu Varius.. Inaonesha kwenye hizo schemes au estates kunahitaji mtaji mkubwa sana [emoji3].., hii huchangiwa na nini hasa? Pia nashukuru kwa kunitajia bei za mahindi na mpunga kwa debe... Vipi kuhusu kwa gunia mkuu, ni around Tsh ngapi. Pia nilikua nashauri tuendelee kufuatilia ni...
  11. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Hii biashara ya kusafirisha mazao pia nimewahi kuifikiria ndugu @shangoo, nadhani yafwatayo ni mambo muhimu kwa biashara hii, ingawa naomba kuongezewa mengine; 1. Kujua nizao gani linauzika kwaurahisi na bei ipo juu kwa msimu husika. 2. Kua na watu unaofahamiana nao maeneo unayopeleka mzigo...
  12. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Duh, aise pole sana... Ahsante kwa ushauri mzuri....ila nahisi kipindi mnavuna, viazi vilikua vingi sokoni ndio maana bei ilikua chini kiasi hicho...au changamoto yakushuka kwa bei unahisi ilichangiwa na nini hasa mkuu....
  13. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    Ahsante kwa ushauri ndugu... Ingawa kwa tikiti natakiwa kucheza sana na hali ya soko... Ahsante
  14. browwn

    Naomba Mnishauri nilime zao gani

    [emoji2] [emoji2] nashukuru sana
Back
Top Bottom