Recent content by browniz

  1. B

    Dr. Makongoro: Serikali isijifiche nyuma ya IPSAS Accrual. Elezeni vizuri tzs 1.5t zilipo

    Francis nimejikuta nacheka ulivyosema wacheuwe..japo mishipa ya hasira imenijaa nikiiwaza PAYE yangu.
  2. B

    Kafulila: CAG amekwepa jukumu lake kwa kushindwa kuweka msingi wa zilipo sh 1.5 trilioni

    Chukua 1.5T÷7B=____ usisahau na hizo chenji pia.
  3. B

    Tunaporudi kazini jumanne.. Fao la kujitoa tusijisumbue kuulizia tena

    Hata ingekuwa 90% bado si sawa. Hela zetu wenyewe kwa nini kutupangia kiwango cha kuchukua? Khaa
  4. B

    Wasio na vitambulisho vya uraia kutoruhusiwa kumiliki simu

    Waandishi wa habari wanaoenda kuwapiga picha na kuchukua taarifa kwa nini wasiwe wanauliza maswali ya muhimu kama hayo?
  5. B

    Neno la Asubuhi...

    Ubarikiwe.
  6. B

    Miaka 45 ya upelelezi

    Na mimi pia naomba uni tag plsss
  7. B

    Diwani wa kata ya Kaloleni Arusha kupitia CHADEMA ajiuzulu udiwani

    Isingenifikia...kafanya maamuzi yenye hasara kubwa kuliko faida. Labda viboko vingesaidia kurudisha akili
  8. B

    Diwani wa kata ya Kaloleni Arusha kupitia CHADEMA ajiuzulu udiwani

    Kura piga tu ndugu, ila si kwa wasioeleweka kama huyu.
  9. B

    Diwani wa kata ya Kaloleni Arusha kupitia CHADEMA ajiuzulu udiwani

    Angekuwa baba yangu ningemtandika viboko!!!
  10. B

    If your life was a book, What would the title be?

    Nimetamani tu kujua what is behind the title.
Back
Top Bottom