pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,075
Mbombo jilipo
Tehehehehehe...Nasikia na wewe ni mtoto wa Raila Odinga.Watoto ni baraka tusiwakimbie..
Nasikia Dingi Yako Alihamia Mitaa Ya Magogoni Kaka, Ila Jiandae Kupimwa DNN, CNN Na BNNna mimi namtafuta baba
Hahahaaa...nyumbani kwa kibogoyo waupataje mfupa...Hukumsikia baada tu ya kuwahoji wachache, akatoka fasta na idadi ya watuhumiwa "wabunge na viongozi wa dini"? Bashite anaweza kuwa ana list yake tayari. Anajiamini yeye hawezi kuzushiwa kwa kuwa anajijua uwezo wake maeneo hayo upoje
Mkuu nilisha predict matokeo ya hili zoezi kufeli kabla ya kuanza the Same kama issue ya madawa ya kulevya kuchafua watu matokeo yake waulize watu mbaazi na choroko wanajua manji naniKwa mujibu wa tangazo la RC, aliyetakiwa kuja ni mama yake au ni huyu mtoto? Kama ni kweli lakini.
Kwa kuwa huyu binti hajamtaja huyo mama yake wala kutaja jina lake, lakini tayari wameshamchafua baba wa watu, na huyo mama anaweza asipatikane kama alivyokuwa yule kada wa ccm aliyemuokoa na kumsaidia Nondo, naanza kuingiwa na mashaka na hili zoezi zima.
Si DNA ipo, lowassa si yupo.Mimi nadhani mtoto kumtafuta baba yake sio lazima mama ahusishwe, Huyo mtoto ni mkubwa sana kuweza kureasons. Wakapimwe na kama ni kweli apewe haki yakeKwa mujibu wa tangazo la RC, aliyetakiwa kuja ni mama yake au ni huyu mtoto? Kama ni kweli lakini.
Kwa kuwa huyu binti hajamtaja huyo mama yake wala kutaja jina lake, lakini tayari wameshamchafua baba wa watu, na huyo mama anaweza asipatikane kama alivyokuwa yule kada wa ccm aliyemuokoa na kumsaidia Nondo, naanza kuingiwa na mashaka na hili zoezi zima.
Hapana mkuu ni Donald TrumpTehehehehehe...Nasikia na wewe ni mtoto wa Raila Odinga.
Ndio madhara ya kutelekezwa hayo.... anaonekana kakulia uswahilini na shule hana. Kama assingalitelekeza angalikwenda shule na anelijua tofauti kati ya DNN ana Deoxyribo Nucleic Acid . Angalia pua zake, angalia kidevu chake,angalia macho yake halafu fananisha na ya mzeeYajayo yanafurahisha sana. Ati yuko tayari kupima DNN ni kipimo gani hiki!?
Mdada mmoja ameitikia wito wa Mkuu wa Mkoa Dar, Paul Makonda kuhusu wanawake waliotelekezewa watoto kufika ofisini kwake ili kupata msaada wa kisheria. Dada huyo amejitokeza na kudai yeye ni mtoto wa Mzee Edward Lowassa.
Amesema..
''Nimetokea Kigamboni, nimekuja hapa, nimekuja kusikiliza wito wa mkuu wa mkoa, Makonda kwamba watu ambao wametelekezwa. Sasa mimi ni mmoja wa mtoto ambaye niliyetelekezwa, ambaye baba yangu ni Edward Lowassa. Nimeanza kumtafuta toka nikiwa darasa la sita na mama ananambia ni kweli baba yako ndio huyo huyo. Sasa nimefuatilia kila sehemu lakini sioni mafanikio kwa hiyo nimekuja hapa kwa mkuu wa mkoa Makonda anisaidie kwa hali na mali kwa vyovyote vile itakavyokuwa kama nipo tayari nipimwe DNA na huyo mzee Lowassa ili nisaidiwe nijue nakaa wapi. Kwasababu mama yangu mzazi yupo hata akija atatoa ushahidi na atasema kwamba itakuwaje kama DNA nipimwe basi.''
Wote mnaolalamika niwazaa njeBado maaskofu walioandika waraka. Hii movie iliandaliwa kwa ajilili ya kuwachafua maaskofu na viongozi wa siasa
What if sio kweli ?Si DNA ipo, lowassa si yupo.Mimi nadhani mtoto kumtafuta baba yake sio lazima mama ahusishwe, Huyo mtoto ni mkubwa sana kuweza kureasons. Wakapimwe na kama ni kweli apewe haki yake