Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm nina noah new model kutokana na shida za usafiri mara nyingi huwa napakia vichwa(abiria) pale Magufuli na kuruka mkoani chapu nakurudi ila sijui ikitokea nimedakwa siku moja na Latra huo msala unaishaje au faini ikoje. Mwenye kujua anijuze
Wakuu nataka kufanya biashara mbili kati ya hizi niwe na fusso tipa la kubebea mchanga, kokoto, vifusi na n.k au niwe na coaster kwa ajili ya kubebea abiria kutoka wilaya moja kwenda nyingine au kutoa mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.
Naomba wazoefu hizo biashara moja wapo mnipe muongozo mzuri...
Jana niliangusha simu yangu wakati nipo kwenye bodaboda nilichokifanya baada ya kuangusha niombe simu ya mtu na kuingia kwenye find my mobile na kui secure ambapo niliandika ujumbe mfupi wenye namba zangu zinazopatikana kwasasa ninachotaka kujua ni kwamba mtu ataweza kuiflash simu ikiwa iko...
Nilikutana nae mara ya kwanza ndani ya Daladala za Mbezi mwisho .Nikamuomba namba ya simu baada ya salamu na maongezi akanipa.
Tulipoachana nikampigia simu baada ya siku 2-3 nikamueleza ukweli kuw nmemuelewa na kumpenda.Baada ya mvutano wa siku nyingi hatimaye akanikubalia ombi langu.
Siku...
Iko hivi, mimi nina wanawake watatu ambao nilikuwa nadate nao. Katika hao watu watatu mmoja yuko vizuri kiuchum, yaani anajiweza na ni mtu ambae ametokea kwenye familia ya kishua lakini ni mtu ambae ana matumizi ya pesa na anapenda sana vitu vya gharama, hata nyumba anayoishi kodi yake ni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.