Nahitaji ushauri kutoka kwa Wazoefu

Nahitaji ushauri kutoka kwa Wazoefu

... na ambaye atakupenda kwa vipindi vyote.

Ulianza vizuri ila hapa mwishoni umeboronga. Utampata wapi katika wakati huu atakayekupenda katika vipindi vyote?

Mnajiwekea mategemeo makubwa halafu mambo yakiwa kinyume mnabaki na maumivu. Pata mwanamke mwenye vigezo ulivyojiwekea lakini haya ya eti sijui kupendwa vipindi vyote hayako realistic na huna uwezo nayo.

Focus on things that you can control. That's where your power is....

Ukifulia utaachwa tu!
 
Vijana sikuhizi mnatafuta wanawake Kwa kigezo cha pesa?

Tafuta mwanamke atakayekuwa mama mzuri kwa wanao na ambaye atakupenda kwa vipindi vyote.
Simple and clear mengine yata ji sort tu
 
Nashauri endelea kujitafuta.....usioe mfanyakazi mtakuja pigana risasi.oa mwanamke unaweza kumtawala...pesa na mafanikio yapo ila amani ya moyo ni muhimu sana
 
Hata tukushauri vipi leo, kumpata huyo mwanamke unafikir ni rahis kama unavyodhani ?
 
Ulianza vizuri ila hapa mwishoni umeboronga. Utampata wapi katika wakati huu atakayekupenda katika vipindi vyote?

Mnajiwekea mategemeo makubwa halafu mambo yakiwa kinyume mnabaki na maumivu. Pata mwanamke mwenye vigezo ulivyojiwekea lakini haya ya eti sijui kupendwa vipindi vyote hayako realistic na huna uwezo nayo.

Focus on things that you can control. That's where your power is....

Ukifulia utaachwa tu!
Kila aliyefulia ameachwa?

the easiest answer is no.

Mpenzi mstahimilivu ni muhimu saana. Sikuzungumuzia kuishiwa pesa tu...kuna ups and downs nyingi kwenye maisha..Kuna siku utampiga tukio kama sio mvumilivu umekwisha..

Wanawake wapo/wanaume wapo watakao kupenda kwa nyakati zozote..mimi ni mmoja wao. Naamini kuna maelfu kama mimi.
 
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.

Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe ambae hana kazi kabisa yaani anaenitegemea mimi kwa kila kitu au niwe na mwanamke ambae nimfanyakazi (muajiriwa) yaani mwisho wa mwezi anapokea sio chini ya 500K ambae naweza kuambia bhana mimi nina 1M apa unaweza kuongeza lak 5 tununue kiwanja au hata nikikwama sehemu naweza kumkopa kiasi flani cha pesa afu nikamrudishia baada ya kusolve shida yangu, yupi anaenifaa apo kati ya ambae she has nothing to offer than her body au ambae ni muajiriwa anaingiza pesa kila mwezi?

Najua humu kuna hustlers wengi ambao wameoa au wako kwenye relationship wanaweza kunipa ushauri mzuri kutokana na experience zao juu ya hili.
ACHA ujinga mkuu!

Tafuta mwanamke wa kukuzalia WATOTO na kukulelea familia Bas!!

Usitafute wa kusaidiana nae MAISHA utakuja lia na kusaga meno!

Tanya biashara,jenga nyumba vuta Binti mrembo mzalishe alee familia!tena asijue hata unapataje mali zako yaani awepo tu kama house girl mwenye hadhi ya kupandwa na Boss na kuhudumiwa!!!

Ukimweka kazini utampa connection hela itamkaa ataanza kuimarika KIUCHUMI bila we kujua Mwisho wa siku majibu na dharau utaanza na Mwisho mtaachana kwa mgao wa mali kwamba nae alikua anafanya biashara eti mmechangia mali!!
 
Vijana sikuhizi mnatafuta wanawake Kwa kigezo cha pesa?

Tafuta mwanamke atakayekuwa mama mzuri kwa wanao na ambaye atakupenda kwa vipindi vyote.
SAFI SANA
 
Mimi ni mfanyabiashara ambae bado na hustle kufikia ndoto zangu nilizojiwekea ila nataka ushauri kidogo.

Mtu hustler kama mimi mwanamke ambae atanifaa kwa future yaani ntakae kuja kumuoa, awe ambae hana kazi kabisa yaani anaenitegemea mimi kwa kila kitu au niwe na mwanamke ambae nimfanyakazi (muajiriwa) yaani mwisho wa mwezi anapokea sio chini ya 500K ambae naweza kuambia bhana mimi nina 1M apa unaweza kuongeza lak 5 tununue kiwanja au hata nikikwama sehemu naweza kumkopa kiasi flani cha pesa afu nikamrudishia baada ya kusolve shida yangu, yupi anaenifaa apo kati ya ambae she has nothing to offer than her body au ambae ni muajiriwa anaingiza pesa kila mwezi?

Najua humu kuna hustlers wengi ambao wameoa au wako kwenye relationship wanaweza kunipa ushauri mzuri kutokana na experience zao juu ya hili.
Sasa unatafutaje kitu usichokijua, yaani watu wakushauri ujue unahitaji nini au sio? Hata wewe mwanaume hujui utakacho?
 
Back
Top Bottom