Nimekuwa namkubali sana Yoga ila sasa naanza kumuona kama ana lake jambo sababu hii stori imeanza kuleta picha kuwa CEO wa sasa haya yaliyotokea hakuyabariki bali kalazimishwa na kundi la mtoa zawadi.
Nimekaza kwa kujipa moyo yataisha ila sasa nimeshindwa maana mnayosema Kama yana ukweli hivi.
Jumatatu naenda kumalizia elfu 30 yangu iliyobaki kwenye akaunti.
Sijui ilikuwaje sababu anaekaa dukani ni kijana wangu mimi nilipigiwa nikapewa maelezo ya kumuuliza kijana wangu lakini nikaona bora kila mmoja nimpe namba wawasiliane.
Kikubwa yule huduma kwa wateja aliniambia inaonekana ili jambo sio level zangu kwaiyo zaidi walichotaka kujua dukani aliekuja...
Sina uhakika ila inawezekana wamestukia kuna ujanja wanafanyiwa sababu namiliki mashine yao ya uwakala wiki hii walinipigia kuhitaji maelezo ya akaunti ya mtu imetoa hela kwangu bila idhini ya mhusika na inaonekana watu wengi imewakuta.
Siipendi Marekani na natamani ianguke kwa sababu ya mabaya anayofanya duniani ila mtoa mada kaandika kishabiki sana.Umemuuliza kama kuongeza kodi kwa bidhaa zinazotoka China wanaoumia ni Wamarekani vipi na kodi iliyoongezwa na China kwa bidhaa kutoka Marekani kuwa watakaoumia ni Wachina wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.