Elimu iwe kazini kuleta maendeleo ya taaluma yake. Hawa wasomi wenye elimu zisizoleta mageuzi ya kiuchumi na kijamii si ndo wale wanaolia wakiachwa kwenye madaraka? Yaani hata kujiwezesha hawawezi hadi kusema nitaishije na kuomba huruma za mtumbuaji. Kumbe ujuzi ni msingi wa maisha aisee.
Mbona wenye PhD wanamwabudu JK Nyerere ba ameondoka bila hata hiyo . Tunataka uwezo sio phd. Magu mwenyewe anawakelembesha kamma hawakwenda shule na anaonekana kuwafundisha.
Kumbe hata michepuo ya ufundi ktk shule hizi hayatiliwi mkazo na wa masomo ya Sanaa na hawawezi kuyasemea na wengine wameanzisha masomo ya Historia jiografia na biolojia kwa lazima
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Fuatilieni huu uzi vizuri na nyie itawauma tu. Misingi ya elimu yetu sasa inasikitisha sana. Kuna shule zinaitwa Technical secondary school zapata Nane nchi nzima tena shule za historia kubwa tanzania. Wazee wetu walikuwa wanatamba na rlomu walizopata huko wakijiita mafundi mchundo(technician)...
Niliishi mahali fulani akaolewa mama mjamzito lakini wala ubwabwa walikuwa wanashangilia badala ya kuhuzunikia mwoaji kwa mimba isiyo yake. Waliumia alipozaliwa mtoto kabla ya miezi sita na akiwa amekomaa.wala ubwabwa hawkuonekana hata kutoa hongera. Tuko pamoja.
Acheni kumzungumzia Azory pengine yuko mahali anatusiklilizia tu iko siku atatokea tu, c mnajua wako watu huwa wanajitokeza wanasimulia kuwa waliwahi kwenda mbinguni wakarejea na ujumbe mzito. Tena wanaitwa waliofufuka na huwa wanatabiri yanayokuja. Akitokea kama ndondocha ataeleza su nabii...
Kama mgefikiri kama baba wa Taifa hili msingekuwa na laumu kwa Jpm. Mimi ni Mura, Tena Yego na Tata wa kutoka Mara. Ningelalama mimi Maana Baba yetu JK Nyerere sliwapatia nafasi vipngozi wengi toka Mara wakawa wanawapelekea maendeleo makubwa tu mnaolalama leo hadi wakabakia maskini na baba yao...
Yaani hata wewe mkuu ukishajimilikisha kila kity na familia yako si rahisi kumwachi wa tumbo moja nawe. Maana ubinafsi ni sumu ya gaki na usawa. Si rahisi kunishawishi na familia yangu kwa lugha hata kwa kura nikuachie hivihivi labda uninyonge. Selfishnes lead to dictatorship.mkuu
Ingia kwa kazi hiyo mwenyewe utuletee ugunduzi wako mie nipo ni iw
Will hotnour you a doctorate.. Maana utakuwa umefanya utafiti wa kina. Tumia simu ya touch na set kwenye automatic photo na camera.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.