Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,921
- 3,649
HahahahahKuna dini ya kweli na dini za uongo, kuna dini ya haki na dini za uongo, Uislaam umekuja kushinda dini zote !
Mwenyezi Mungu anasema 'Dini ya haki ni Uislaam'
We cant compromise.
HahahahahKuna dini ya kweli na dini za uongo, kuna dini ya haki na dini za uongo, Uislaam umekuja kushinda dini zote !
Mwenyezi Mungu anasema 'Dini ya haki ni Uislaam'
We cant compromise.
Sumalee (Hakunagaa) na Mzee Yusuf wao wamerejea. Hakuna Muislaam ataendekeza ya Diamond.Acha ujinga mara kibao tu Ali kiba na diamond huwa anamshkuru Allah kwa kushinda tuzo tafuta interview zake..... Sasa unashinda tuzo kwa kuimba nyimbo za kuhamasisha ngono kma WAKA-WAKA alafu anamshkuru allah tena hadi akajenga msikiti na amepanga kwenda kuuzindua
Diamond: Kuna msikiti ninaujenga Mtwara | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
Toa fact sio kung'ang'ania mambo mfano yesu hakufanya kazi siku ya sabato na aliitambua ,je bado huyo ni muislamu ? adamu alimtolea mngu sadaka ya kuteketeza wanyama nalo lipo kwenye uislamu ? Musa alitoa pia kafara za wanyama ,hii ipo kwenye uislamu? Mpaka leo Bini ya wayahudi ipo na wanafanya hayo na ni dhambi kwa mujibu wa mafunzo sahihi ya uislamu ,mmuanzilishi wa uislamu ni muhamad lugha yake ni kiarabu ,musa alikuwa anaongea lugha mbili kiegypt (mother tongue) na kiebrania ,Yesu aliongea lugha mbili kialamaic na kiebrania ,yesu na musa hawakuwahi hata kujua neno asalam aleikhum ni nini kama wasivyojua kisukuma.Kichwa cha habari kinamuhusu vipi Muhammad? Mbona unajichanganya? Kwa taarifa tu ni kwamba Mussa na Ibrahim walikuwa waislam. Hata Yesu alikuwa mwislam. Kama hutaki au hupendi chukua kamba ujinyonge!
Kumbe mnakubali sadaka ya kyteketezwa wanyama imekatazwa kwenye Quran. Hongera kwa kuanza kuutambua uislam.Toa fact sio kung'ang'ania mambo mfano yesu hakufanya kazi siku ya sabato na aliitambua ,je bado huyo ni muislamu ? adamu alimtolea mngu sadaka ya kuteketeza wanyama nalo lipo kwenye uislamu ? Musa alitoa pia kafara za wanyama ,hii ipo kwenye uislamu? Mpaka leo Bini ya wayahudi ipo na wanafanya hayo na ni dhambi kwa mujibu wa mafunzo sahihi ya uislamu ,mmuanzilishi wa uislamu ni muhamad lugha yake ni kiarabu ,musa alikuwa anaongea lugha mbili kiegypt (mother tongue) na kiebrania ,Yesu aliongea lugha mbili kialamaic na kiebrania ,yesu na musa hawakuwahi hata kujua neno asalam aleikhum ni nini kama wasivyojua kisukuma.
Ni janja ya Mtume kujihusisha na wayahudi ili kuunganisha uislamu na adamu,ila hata leo israel 64 % ya waislaeli ni wadini yao ya kiyahudi waliyoabudu babu zao waislamu ni kama 20 %
Pia kwa uelewa zaidi hebu msomi mwenzangu fungua hapa
Adamic language - Wikipedia
kisasa taifa chokozi la Israel kuna waarabu pia, wayahudi ndio jews, dini yao nadhani ndio inayoitwa Judaism, mwisho tukumbuke kutenda haki duniani.Swali lako haliko sahihi
Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael
Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?
Najua mengi yaliyopo kwenye quran ,hiyo haimaanishi naiamini ,ni kama wewe ambavyo ,unajua kwenye biblia sadaka hizo zimeruhusiwa na musa ,adamu na wanawe walizifanya ,Je nikupongeze kwa kuanza kuujua ukristo?Kumbe mnakubali sadaka ya kyteketezwa wanyama imekatazwa kwenye Quran. Hongera kwa kuanza kuutambua uislam.
Kwenye biblia hakujazungumzwa ukristo. Wala huo ukristo siyo dini anayoijua mwenyezi Mungu. Watu Wameipachika jina tu.Najua mengi yaliyopo kwenye quran ,hiyo haimaanishi naiamini ,ni kama wewe ambavyo ,unajua kwenye biblia sadaka hizo zimeruhusiwa na musa ,adamu na wanawe walizifanya ,Je nikupongeze kwa kuanza kuujua ukristo?
Pia kwenye torati hakuna neno uislamu ni neno alilolipachika muoaji vitoto MuhamadKwenye biblia hakujazungumzwa ukristo. Wala huo ukristo siyo dini anayoijua mwenyezi Mungu. Watu Wameipachika jina tu.
Ukristo ulitoka kwa wayahudi baadhi walikataa njia ya kristo wakaendelea na njia zao za kale (dini ya uyahudi isiyotambua uislamu na ukristo) ,uislamu ulitoka kwa waarabu wasio na mahusiano na wayahudiPia kwenye torati hakuna neno uislamu ni neno alilolipachika muoaji vitoto Muhamad
Lipo!Pia kwenye torati hakuna neno uislamu ni neno alilolipachika muoaji vitoto Muhamad
nipe kifungu maana wenye torati yao ni wayahudi na hawajui kiarabu na islam ni neno la kiarabu استسلاما ,musa hakuwahi kukijua kiarabu wala yesuLipo!
Unaona sasa why uamini dini yako ndio ya kweli na za wengine ni uongoKuna dini ya kweli na dini za uongo, kuna dini ya haki na dini za baatwil, Uislaam umekuja kushinda dini zote !
Mwenyezi Mungu anasema 'Dini ya haki ni Uislaam'
We cant compromise.
Basi kama kiba na diamond wamepotoka ndio hivyo hivyo hao wavaa uchi wanaoomba ''kikristo'' nao wamepotoka mbona its that simple!!!Sumalee (Hakunagaa) na Mzee Yusuf wao wamerejea. Hakuna Muislaam ataendekeza ya Diamond.
Kiba na Diamond ipo siku watarejea. Haswa Kiba, kwani amesoma.
Uliwaona au kukutana nao wakakwambia hawakujua kiarabu?nipe kifungu maana wenye torati yao ni wayahudi na hawajui kiarabu na islam ni neno la kiarabu استسلاما ,musa hakuwahi kukijua kiarabu wala yesu
kwenye quran sehemu imeandikwa yesu(nabii issa) ata hukumu ulimwengu,tupe ayaKama ni nabii tu kwa nini yeye ndiye pekee atakaye uhukumu ulimwengu siku ya kiama.Soma Quran ,soma Biblia ujiulize hilo swali.Kwa nini sio Musa,Kwa nini sio Isaya au Mohammed ??