Hahahahaaaa....da! haya matunda ya BRN taaabu kweli kweli.Yan nlipoona huo uzi nkafkr kuna cha maana kumbe ni dume zma ndo linalalamikia issue za msosi!!!! we ulienda chuo kusoma au ulienda kula? Yan hyo 1500 tu unataka uwe unapakuliwa sinia zma?!! Watu tumesomea UDOM miaka mitatu na tulikua...
1. Nyie ni kina nani mpaka mkazihoji hzo mnazo ziita idara za ndani za NECTA kuhusu post?
2. Aliyewqmbia kwamba NECTA ndo iko responsible na kutoa post ni nan?
3. We kukaa miezi sita tu hyo ushalalamika wakati unakula bure na kulala bure kwa wazazi wako, unafkr ww ni bora kuliko walim...
Wahadhiri katika chuo kikuu cha Dodoma wagoma kutoa na kusimamia mitihani wakishinikiza kulipwa pesa zao wanazo kidai chuo,na hivo kusababisha kutofanyika kabisa kwa mitihani katika college ya Humanities na social science!
Hebu wakati mwngne uwe unajarb kutumia akili,japo hyo kidogo uliyonayo. Hao wakuu wa udom wanaopitia humu unaotaka watatue tatzo lako kwani wapo chuo gan wao? si ni udom hapohapo? kwan hawajaona hlo tatzo? je,kama wameshndwa kulisolve unafkr ukilalamika humu ndo watalisolve?
wewe c ajabu hata...
Mkuu kinachoonekana hapa kila mtu anakubali kutumia au kutotumia ndom kwa interest zake binafc but sio kwamba zna madhara,ndo mana kila mtu anakuja na vijisababu vyake binafc mara znawasha,mara znaleta cancer,mara zinaumiza tumbo la chini n.k ilimradi tu ku-justfy interest zake!!
Mkuu mi mwenyewe ni product ya pale kama miaka 2 iliyopita na tuliacha hyo shule ikiwa katika mazngra mazuri kabsa.Kinacho i-cost hii shule ni timuatimua ya walimu utafkr makocha wa vilabu vya mpira, bila kuzngatia umuhimu wao na hata uwezo wao.As a result of this, walimu wengi wazuri...
Kwanza kabsa nikupe pole mkuu kwa kipnd hcho cha mpito unacho pitia.kama unaona huyo demu hayuko tayar kuwa na ww then why cant u just let it go!? i know how u feel coz namm ni muhanga wa hizi mambo bt, hebu assume kama hukuwahi kukutana na huyo dogo and move on bhana, kuliko kuzd kuonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.