tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 115
- Thread starter
- #21
Mijitu mingine kwa uongo, maji yapo full kasoro siku mbili tatu wakati bomba lililopasuka likofanyiwa marekebisho. Vipi unalalamika maji sasa hivi na miaka ya kuanzia 2010/2011 ungesemaje?
Mkuu, Maneno yako yanapingana sana na avatar yako! Soma vizuri content za uzi, mtoa hoja kazungumzia tatizo la wiki hii na specific college of education-COED! (si chuo kizima) sidhani kama uko COED kwa sababu mpaka dakika hii maji ni issue kwa block nyingi! Hata hivyo shida za 2010 haziwezi kuhalalisha za 2014! JITAMBUE!
