Matusi ya nn inamaana wew hujawahi kufeli kwa chochote?huu sio uungwana kama hujisikii kumsaidia mtu kwa mawazo bora unyamaze watu tumeumbwa kutegemeana kama wew umeumbwa kujua kila kitu wengine hatufahamu vitu vyote!ubinadamu hauko hivyo ndugu!
Maeneo ninapoishi hakuna hiyo shule ndugu na hata ghalama za kumpeleka kwenye hizo shule za mbali siwezi kuzimudu ndomana nikaomba mwongozo ikibidi nijifunze mwenyewe hata nikipata video za kufundisha hiyo lugha naimani nitaelewa na nitajitahidi nimfunishe mwanangu hivyo hivyo taratibu!
Wapendwa wana jamii forum ninapenda sana kujifunza lugha ya ishara nina mtoto pia ambaye anashida ya kuongea hivyo naomba kwa yeyote mwenye uelewa wa lugha hii anipe mwongozo ili mm na mwanangu tuweze kujifunza lugha ya ishara ili mimi niweze kuwa msaada kwake na kwa wengine wenye tatizo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.