Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Mwalimu wa KUJITOLEA wa somo la English Language anahitajika. (Posho kwa mwezi ni 150,000/= tu.)
Sifa kubwa
1. Awe ni jinsi ya KE.
2. Elimu ya Stashahada au Shahada ya Elimu.
NB: Shule ipo Ifakara Morogoro
Mawasiliano. 0621538913.
KARIBU SANA
Sifa kubwa
1. Awe ni jinsi ya KE.
2. Elimu ya Stashahada au Shahada ya Elimu.
NB: Shule ipo Ifakara Morogoro
Mawasiliano. 0621538913.
KARIBU SANA