Recent content by BRO EDDY

  1. BRO EDDY

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Jirani yangu anayo aliinunua kwa mbwembwe sahiv imelala juu ya mawe zaidi ya mwaka mafundi wanafungua engine kila kukicha ikitembea ni siku moja inalala tena jamaa anatembea kwa miguu tu sasa na aliiagiza mwenyewe from Japan
  2. BRO EDDY

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Hii ndio changamoto ya nchi TRA inapaswa kuwa na wigo mpana wa kuchunguza vyombo vya usafiri hata kadi unaweza iba ukatengeneza mkataba feki ukapewa kadi mpya yenye jina lako. Middleman anaweza kuwa hajui chochote ila atasaidia kumpata mhusika kama wana mawasiliano! Tofauti na hapo angalieni...
  3. BRO EDDY

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    RRONDO msaada wako wa info za BMW 3 ulizodai ulizipost zikuonesha hadi bei za spea ikiwemo filter
  4. BRO EDDY

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    RRONDO nisaidie best yangu kupata hiyo threat uliyoandika kama ulivyoeleza hadi bei ya filter au unitag niweze kuisoma msaada wako ni mkubwa sana kwangu!:confused2:
  5. BRO EDDY

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Safi sana Mshana kwa huu uzi! Naombeni ushauri nataka kununua BMW 3 series ya mwaka 2000! naombeni ushauri wa kitaalam uimara wake na engine ipi nzuri ya hiyo gari maana nimepitia showroom mbalimbali nimeona zinatofautiana engine! Spear zake pia vipi hapa bongo? Ubaya wa hizo gari pia ukoje...
  6. BRO EDDY

    Wasoma habari TBC 1 mbona mnakuwa serious kama mnasoma habari za jeshi?

    kuna mtu anaitwa Ndesika duh utafikiri soldier au mwalimu mkuu wa shule ya Tandahimba huko yuko serious!! Ch. 10, ITV na star tv wako vzr! Hawaoni kwa nini watu wanapenda kumuangalia Salim Kikeke?! Yuko flexible anakusomea habari kama hadithi flani hautachoka kufuatilia au kama vile uko nae...
  7. BRO EDDY

    Wasoma habari TBC 1 mbona mnakuwa serious kama mnasoma habari za jeshi?

    Hamna mvuto au ndio maagizo ya serikali msiwe na friendly face kwa watazamaji wenu?
  8. BRO EDDY

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Thanx kwa ushauri unazungumzia baiskeli za miguu miwili za kusukuma zinazotumiwa kubebea mizigo?
  9. BRO EDDY

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Niko tegeta dar naomba wazo la biashara isiyohitaji mtaji wa zaidi ya mil 1 na inayolipa haraka!
  10. BRO EDDY

    Usimjaribu bwana mungu wako!!!

    Ya kaisari mpe Kaisari na ya MUNGU mpe MUNGU! Huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako! MUNGU alimtoa YESU auwawe kwa ajili yetu, MUNGU pia alileta gharika na kuteketeza kizazi chote na kumuacha NUHU na wanyama aliowateua, Mungu pia anasema kila roho itaonja mauti ili ifike kwake. Haina maana kuwa...
  11. BRO EDDY

    Loliondo pananuka mauti

    Ya kaisari mpe Kaisari na ya MUNGU mpe MUNGU! Huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako! MUNGU alimtoa YESU auawawe kwa ajili yetu, MUNGU pia alileta gharika na kuteketeza kizazi chote na kumuacha NUHU na wanyama aliowateua, Mungu pia anasema kila roho itaonja mauti ili ifike kwake. Haina maana kuwa...
  12. BRO EDDY

    Watanzania tunaingizwa kwenye mkenge mwingine wa eac!!

    Ndugu zangu wanajf, Shirika la ndege Tanzania (ATC) lipo jamani au lah mbona liko kimya? Hii nchi imelogwa au? Wenzetu Kenya wanachangamkia jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) sisi vipi mbona serikali imelala haitoi hata muongozo kwa wananchi wake inabaki kuimba tu wimbo wa jumuiya hiyo kwenye...
  13. BRO EDDY

    Noti mpya hazina ubora?

    Hizo noti wanaandaa dili lingine la uchakachuaji!!! Kwanza too many colors mpaka zinaboa!!! Hawaoni hela za wenzetu kama US dolllar? iko simple haizidi rangi mbili then ni durable!! Inaudhi hawa wanaojidai wataalam wa kudesign sijui tunawatoa wapi?. Hii nchi inachezewa sana mtatua kwa presha!!
  14. BRO EDDY

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Jamani mi napita tu nitarudi baadae
  15. BRO EDDY

    Kutoka Karimjee Hall: Mjadala juu ya Tamko la Uongozi wa Waislamu Jan 15, 2010

    Tatizo wamekalia madrasa hawataki kusoma elimu dunia, hivyo ni kuwahurumia wakitusumbua tuwapeleke Sudan Kusini
Back
Top Bottom