Recent content by brizy

  1. brizy

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Ok thnx,by the way what's ku. on ya post?
  2. brizy

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Password si ile ulioieka wkati unafungua profile au umeisahau?
  3. brizy

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Jaribu ku login na password yako.alafu ingiza hayo maneno hapo chini yaliyoandikwa.ila hiyo incomplete cjui nn labda ni tatzo tu la kwao
  4. brizy

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Mkuu samahani,umeulizia kwenye source yenye uhakika?
  5. brizy

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Mimi wameandika 'you have not secured loan',kwenye institution kuko empty,years
  6. brizy

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Guyz need sum high grade maruwana😃😃.jus jokin banaa
  7. brizy

    Kozi za Uhandisi zinazolipa Tanzania

    I think ni CIVIL,ELECTRICAL & MECHANICAL.eng karibia zote ziko ndani ya hizo 3.those are the best😎
  8. brizy

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Wakuu kwani bei za ku whiten/bleach meno ambayo siyo brown kama ya watu wa arusha pale muhimbili ni bei gani?
  9. brizy

    St. Joseph Collage Of Engineering

    whateva man.....😕we kwan we umetoboa
  10. brizy

    St. Joseph Collage Of Engineering

    Wakuu o-lvl prvt,advnc gvnt,npo civil;vp mkopo hpo?
  11. brizy

    St. Joseph Collage Of Engineering

    Wanakataza hadi t shirt!!!whaaat???
  12. brizy

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    Hey sasa kama nimetumiwa email wanataka hiyo kitu tarehe 5 october kweny rgstrn nami cjui pa kuipata plus nilipe na ada ful wkt nimeaply loan wht wud i do?stop being a shonde.ka vp kausha
  13. brizy

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    Na ada za mitihani zinalipwa kipindi gani?na 'conduct certificate from previous institution/organisation' direct aplicants wanatakiwa walete?if yes wanaitoa wapi?
  14. brizy

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    Naskia 5 october 1st yia wanaenda kuji register...
Back
Top Bottom