KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 2,063
- 2,146
Basi utapewa mkopo mkubwa kidogo haitokua chini ya 1.3MNimesoma govn ila chuo ndo private course ni electrical and electronics
Basi utapewa mkopo mkubwa kidogo haitokua chini ya 1.3MNimesoma govn ila chuo ndo private course ni electrical and electronics
Mkuu pesa ya kutumia ukiwa umesubili bum lako na sometime bum linaweza chelewa.Ela ya kujikim kwan c kuna boom au..na znatumika daftar au note book na je laptop ina umuhimu wowote ktk usomaji kwa cc wa mwaka wa kwanza?
Ina mkopo bt jiandae kwenda kumeza code na computer ni ngumu maana kwa engineering wanasoma semister ya kwanza computer language na semister ya pili wanasoma computer programing licha ya kuelewa pia kuna kumeza saana.Kwenye computer programing second semister na computer language first semister unakuta kuna program si chini ya 12,Then kwenye pepa inatakiwa ujibu program mbili tu bt una kuta kuna masuali yote 15.Mnaogota karatasi kwa mchezo wa bahati na sibu masuali mawil utakayochagua ndio unaenda kuyajibu hayo.nimechaguliwa bach. of education with computer science ipoje hii wakuu,,, na mkopo wanapata au?
Kwa wale wa mechanical duu sina cha kueleza mtakuja mshuhudie wenyewe.Note:Muhindi anapenda kuheshimiwa zaidi ya maelezo.
Mkuu usiogope we njoo upige kitabu,Pepa kwa wingi,asighnment kwa wingi saana mpaka unachukia.Halafu mwaka wa kwanza engineering wote mnasoma vitu vinavyofanana so usiogope hii ni course nzuri lakini ombeni mpangiwe lecturer wazuri.Mimi mwenyewe napiga Mechanical eng but kiukwel chuo kwa hii course hakijajipanga vizuri maana hii course semister ijayo ndio watu wanaingia mwaka wa tatu.Lakini ukifka chuoni unaruhusiwa kufanya transfar kwenda course unayoitaka.Lakini mimi naipenda sana hii course sana na mapind wanapiga sana tatzo ni kuwa chuo hakina mashine za kutosha zakufanyia practical ukilinganisha na course zingine.Lakini walindai wataleta mashine nyingi sana semister hii inaanza na nyie.Sorry mkuu hapa una maana gani?? Mechanical ni majanga au???Mi wamenichagua hiyo coz
Mkuu pesa ya kutumia ukiwa umesubili bum lako na sometime bum linaweza chelewa.
Ina mkopo bt jiandae kwenda kumeza code na computer ni ngumu maana kwa engineering wanasoma semister ya kwanza computer language na semister ya pili wanasoma computer programing licha ya kuelewa pia kuna kumeza saana.Kwenye computer programing second semister na computer language first semister unakuta kuna program si chini ya 12,Then kwenye pepa inatakiwa ujibu program mbili tu bt una kuta kuna masuali yote 15.Mnaogota karatasi kwa mchezo wa bahati na sibu masuali mawil utakayochagua ndio unaenda kuyajibu hayo.
Nikweli mkuu na jitahidi usome sana upige GPA nzuri pia uwe vizuri kwenye practical unaweza ukabaki hapo chuoni ukawa unafundisha wanafunzi wa diploma.Juhudi zako ndio mafanikio yako.nimekusoma mkuu Kalinzi ila mm c ntakuwa mwalimu wa computer au??? maana mm ni education with computer
Vp km unakaa ubungo then chuo St Joseph haitosumbua sana??Mimi kwa sasa nipo kijijini kwetu KALINZI,but ukihitaji nikupe namba ya darali au nikutafutie mtu alie huko muwasiliane nae utasema.Room zipo nyingi ni wewe tu utakayo hitaji kulingana na pesa yako.
Vp km unakaa ubungo then chuo St Joseph haitosumbua sana??
Mkuu nauli kwa mwezi ni shilingi elfu 46.Ambayo unaweza kaa na mtu karibu na chuo na kuepusha usumbufu,Lakini kama utakuwa unakaa kwa ndugu yako au kwenu hapo sawa.Vp km unakaa ubungo then chuo St Joseph haitosumbua sana??
Yap ni kweli lazima uwe na akaunti ya exm.Mkuu Eti ni kweli kuwa kila mwanafunz mwenye mkopo ni lazima awe na akaunti ya Exim bank ili aingiziwe boom lake na sio bank nyingine?nimeambiwa hili na jamaa angu mmoja ila sijamuamini bado
Wakuu o-lvl prvt,advnc gvnt,npo civil;vp mkopo hpo?
Wakuu o-lvl prvt,advnc gvnt,npo civil;vp mkopo hpo?