Kuna jambo linanichanganya sana hivi. shule ya mjini watoto wanakaa chini unajua ni aibu kubwa? Hiv shule kama mzumbe primary ya zamani shule maarufu watoto wanakaa chini hivi kweli serikari imeshindwa kufanya jambo lolote? Niwapongeze walimu wanavyochapa kazi lakini mazingira ya ujifunzaji ni...
Tangu msimu wa kahawa ufunguliwe kumekuepo na sintofaha ya bei ya kahawa na matamko mbalimbali ya viongozi
Raisi alipokuja Kagera aliagiza bei ya kahawa iwe ya ushinda, mwenye bei kubwa ndo anunue kahawa ya mkulima na Waziri alipokuja akawa ameagiza baada ya mnada ndani ya masaa 24 mkulima...
Habari za jioni, wana JF,
Kwanza kabisa nipende kusema mtumishi yoyote siyo mtumwa.....Hivi karibu kumejitokeza viongozi wanaokandamiza haki za watumishi hasa wa serikari mfano kiongozi kusema kundi fulani la watumishi hapaswi kuhamia mjini, labda vijiji nikupokonya haki ya mtumishi hasa wa...
Nisikilise mdogo wangu tafuta mkoa wenye furusa hasa za kilimo uhamie tafuta mtu wa kubadilishana naye badili laini tafuta mke siyo kimada mke mungu akijali mwalimu mwenzako oa utaona mambo yanabadilika kuhusu kube uza hiyo cm kubwa nunua ndogo jikite kwenye uzalishaji cyo vijiwen utafanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.