SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,262
- 2,197
Wakuu kama mzalendo wa nchi niliamua kuwaunga mkono TTCL kupitia T-Pesa cha ajabu ndugu zetu hawa wamekosa uhaminifu kabisa!!
Zaidi ya Mara mbili nimenunua airtime kutoka T-Pesa kuja kwenye no yangu ujumbe unakuja "Airtime Topup of Tsh 5,002.00 to 255736....... was successful"
Ila salio aliingii wakati pesa inakuwa imeshakatwa Kule T-Pesa.
Mara ya kwanza nilipotezea lakini sasa imekuwa too much yaani nashindwa kuwaelewa hawa watu.
Zaidi ya Mara mbili nimenunua airtime kutoka T-Pesa kuja kwenye no yangu ujumbe unakuja "Airtime Topup of Tsh 5,002.00 to 255736....... was successful"
Ila salio aliingii wakati pesa inakuwa imeshakatwa Kule T-Pesa.
Mara ya kwanza nilipotezea lakini sasa imekuwa too much yaani nashindwa kuwaelewa hawa watu.
