Brilliant internationary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 301
- 193
Habari za jioni, wana JF,
Kwanza kabisa nipende kusema mtumishi yoyote siyo mtumwa.....Hivi karibu kumejitokeza viongozi wanaokandamiza haki za watumishi hasa wa serikari mfano kiongozi kusema kundi fulani la watumishi hapaswi kuhamia mjini, labda vijiji nikupokonya haki ya mtumishi hasa wa serikari, kwahiyo niombe kiongozi afute ile kauli kwani siyo ya kiungwana hata kidogo.
2. Nipende kushauri afisa elimu mkoa wa lindi hiki wanachofanyiwa walimu siyo cha kiungwana, nikuwapokonya haki zao za kiutumishi mfano mwalimu anafanya kazi kuanzi saa kumi na mbili asubuhi mpaka usiku bila malipo ya ziada, huu siyo uungwana huu, pili makambi bubu haya makambi ni hatari kwa wanafunzi wetu kwani hayana usalama wa kutosha, tatu watoto kutopata muda wa kupumzika unakuta watoto hawapati muda wa kupunzisha akili hata kwa wiki moja ili linasababisha watumishi hasa walimu kuangaika kwa muda mrefu, matokeo yake mkoa unakuwa na nafsi mbaya kitaifa.
Mwisho nipende kuomba viongozi hivi vyeo mlivyo navyo ni vya muda tu msipende kuumiza watumishi wenzenu kisa nyinyi mna madaraka tenda haki na haki ndo inayoinyanyua taifa asante.
Kwanza kabisa nipende kusema mtumishi yoyote siyo mtumwa.....Hivi karibu kumejitokeza viongozi wanaokandamiza haki za watumishi hasa wa serikari mfano kiongozi kusema kundi fulani la watumishi hapaswi kuhamia mjini, labda vijiji nikupokonya haki ya mtumishi hasa wa serikari, kwahiyo niombe kiongozi afute ile kauli kwani siyo ya kiungwana hata kidogo.
2. Nipende kushauri afisa elimu mkoa wa lindi hiki wanachofanyiwa walimu siyo cha kiungwana, nikuwapokonya haki zao za kiutumishi mfano mwalimu anafanya kazi kuanzi saa kumi na mbili asubuhi mpaka usiku bila malipo ya ziada, huu siyo uungwana huu, pili makambi bubu haya makambi ni hatari kwa wanafunzi wetu kwani hayana usalama wa kutosha, tatu watoto kutopata muda wa kupumzika unakuta watoto hawapati muda wa kupunzisha akili hata kwa wiki moja ili linasababisha watumishi hasa walimu kuangaika kwa muda mrefu, matokeo yake mkoa unakuwa na nafsi mbaya kitaifa.
Mwisho nipende kuomba viongozi hivi vyeo mlivyo navyo ni vya muda tu msipende kuumiza watumishi wenzenu kisa nyinyi mna madaraka tenda haki na haki ndo inayoinyanyua taifa asante.