Recent content by brightoni

  1. B

    Upinzani ungechukua nchi hata mara moja tu, taifa hili lingekuwa mbali sana.

    Mbona upinzani haujajinge kiuchumi kiwango cha kuwavutia wadau? Ndani ya miaka ishirini
  2. B

    CCM wateka nyara sikukuu ya wafanya kazi duniani MEI MOSI!

    Hvi kibari cha hayo maandamano ya ccm polisi walitowa? Na kama hawakutoa naomba wachukuliwe hatua na mkuu wa polisi mkowa wa kirimanjaro
  3. B

    Prof. Lipumba ataendelea kuwa mwanasiasa bora wa upinzani Tanzania

    Amekufa kisiasa hivi Tabora kaifanyia hata cha kijamii kama msomi na mchumi
  4. B

    Prof. Lipumba ataendelea kuwa mwanasiasa bora wa upinzani Tanzania

    Mwanasiasa bora kashindwa kujenga cuf kwa miaka ishirini acheni ushabiki
  5. B

    Tetesi: Kuna tetesi kwamba Marekani inapanga kutangaza vikwazo kwa Serikali ya Tanzania

    Toa sababu kwann hawezi kuwa Rais? Au sio laiya?
  6. B

    Watanzania watakiwa kumuunga mkono Rais Magufuli

    Aungwe mkono kwa lipi?
  7. B

    Miili sita kwanza ilizikwa kimyakimya na mwili wa saba nao ukazikwa kwa namna hiyo, kwanini?

    Bukyanagadi ww nafikiri unajua nn maana dhama polisi wanayo dhamana mkuu wa mkowa pia apaswa kuzuungumzia hili hii nchi sio Burundi
  8. B

    Habibu Mchange aikacha ACT-wazalendo na kuachana na siasa

    Msomi kama ww utajiondoaje ktk siasa? Au unavuna ulickipanda? Hivi kweli chadema ndugu zako?
  9. B

    Mpaka sasa BAVICHA ndio taasisi bora ya vijana nchini.

    Nisawa vijana wa chadema nimakini lakini chama hakina mipango vitega uchumi ningumu kushinda na chama chenye pesa
  10. B

    Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

    Wengi mjiingiza kwenye jambo msilolijua huyu mb. Kachaguliwa nawatu ww unsema umemchoka ulimchaguwa ww? Bila ushabiki jiepusheni na swala Lema
  11. B

    Makapuku Forum

    Ushauri wangu kwa rais ashuhurikie katiba kwanza ili mambo ya hovyohovyo yashugulikiwe kikatiba bila hivyo hataweza kuinyoosha nchi
  12. B

    Mwelekeo wa CHADEMA kwenda mbele

    Mbona husemi chama cha mrema dovutwa na Joni cheo?
  13. B

    Sumu inayosambaa mitaani dhidi ya Magufuli, Mungu ingilia kati

    Hoja hii ni dhaifu sana msipende kumsemea rais wananchi ndiyo wenye nchi
  14. B

    CHADEMA waanza kuiga mambo ya ACT Wazalendo

    Zito na kitila walikuwa maafsa wa chadema nilazima mbinu wayakazo tumia hazita kinzana na chadema
Back
Top Bottom