Watanzania watakiwa kumuunga mkono Rais Magufuli

Najua kuna watu mlijipanga kutuletea rais wa kwnu mlio mtaka nyie, mkasahau kuwa Rais ni Chaguo la M/Mungu kupitia viumbe vyake kama sisi wanaadamu. Chaguo hilo si mwangine ni JPM, na siku zote watu walio zoea dhuruma, huwa hawapendi Rais anae simamia haki na usawa, sasa nyie msio ona mema anayo yafanya JPM, basi mna lenu jambo, Tangu nilipo pata utambuzi wa siasa kwa maana ya kuanza kupiga kura nilikua nikimuomba Mungu ANIJALIE NIPATE Rais mwenye kujiamini, muadilifu, mchapa kazi, anae chukia rushwa, ubaguzi wa aina yoyote, ambae ataimarisha uchumi na chama changu CCM ambapo kwa sasa NCHINI hakuna anae weza onea mtu eti kisa serikali "kaiweka mfukoni" kwahiyo kwa sasa Rais wetu tumuunge mkono ili hata mtoto wa mkulima wa Nkasi, Njombe Bukombe awe na fursa sawa na mtoto wa tajiri. hii ndo Tanzania aliyo tuletea Mh.Pombe. Mungu AMBARIKI RAIS WETU.
 
Acheni chuki za ovyo nyie, TUMUOMBEE Rais wetu mpendwa azidi kuitendea haki nchi yetu kwa kuleta viwanda, kufufua shirika la ndege, kuondoa wafanyakazi hewa, kuboresha huduma za jamii kama afya, maji, umeme, mindombinu, elimu nakadhalika, hata kama mlidhani watu wenu wapiga deal wange lindwa, huu ni utawala wenye intergrity, kwahiyo wapiga deal hamwezi kusifia, sie tulio zoea kula kwa jasho letu, tuta muombea na naamini MUNGU atatusimamia na kiongozi wetu JPM. God bless u JPM and yr family
Chuki,ubinafsi na maisha ya visasi kaanzisha yeye mwenyewe. Huo muda wa kumuombea mtakavitu hakuna tena.
 
Acheni chuki za ovyo nyie, TUMUOMBEE Rais wetu mpendwa azidi kuitendea haki nchi yetu kwa kuleta viwanda, kufufua shirika la ndege, kuondoa wafanyakazi hewa, kuboresha huduma za jamii kama afya, maji, umeme, mindombinu, elimu nakadhalika, hata kama mlidhani watu wenu wapiga deal wange lindwa, huu ni utawala wenye intergrity, kwahiyo wapiga deal hamwezi kusifia, sie tulio zoea kula kwa jasho letu, tuta muombea na naamini MUNGU atatusimamia na kiongozi wetu JPM. God bless u JPM and yr family
Amen
 


Waumini mbalimbali na wakristo nchini wameaswa kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli za kupiga vita ubinafsi ili kujenga nchi yenye upendo, amani na maendeleo.

Mwito huo umetolewa na Askofu wa Kanisa la Moravian, Jimbo la Mashariki na Pwani Tanzania, Emmaus Bandekile Mwamakula jana katika salamu zake kwa wakristo za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya.

“Tunaposherehekea sikukuu ya Krismasi hatuna budi kukumbuka maana halisi ya Krismasi. Biblia inafundisha kuwa Yesu Kristo aliamua kuacha utukufu wote aliokuwa nao mbinguni pale alipozaliwa sehemu ya kulishia ng’ombe ili awatumikie na kuwakomboa wanadamu,” alisema Askofu Mwamakula, Aidha, alisema tukio la kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Yesu Kristo inawakumbusha waumini na wakristo kuacha ubinafsi na kwani hakuna jamii yoyote iliyofanikiwa popote duniani kama inaendeleza ubinafsi.
Askofu Mwamakula alisema vita dhidi ya ubinafsi inayopigwa kwa nguvu zote na Rais Magufuli, inapaswa kuungwa mkono kwani ubinafsi ni adui wa haki, upendo, umoja, amani na maendeleo.

“Ubinafsi unafanya hospitali zinakosa dawa na huduma muhimu na kusababisha watu ambao wangekuwa wazalishaji mali kupoteza maisha kwasababu tu watu wachache wametumia pesa zilizotakiwa kutumika kuwatibia,” alisema askofu huyo.
Alisema Rais Magufuli ametambua madhara ya ubinafsi ndio maana ameanzisha vita alivyovipa jina la “Kutumbua Majipu” hivyo anapaswa kuungwa mkono na kupongezwa.

Aliwasihi Watanzania wote kuungana kwa kuwa vita hivyo havina dini, kabila, itikadi, jinsia, umri wala rangi na kuongeza kuwa kama jamii inahitaji demokrasia ya kweli, ni lazima kupiga vita ubinafsi.
That's true
 
asikofu atueleze huo utafit aliufanyia wap na akagundua maguful haungwi mkono na atupe na sababu za kiutafit zitakazo tushibisha kwa nn anazan rais haungwi mkono na ni akina nani hawamuung
 
Najua kuna watu mlijipanga kutuletea rais wa kwnu mlio mtaka nyie, mkasahau kuwa Rais ni Chaguo la M/Mungu kupitia viumbe vyake kama sisi wanaadamu. Chaguo hilo si mwangine ni JPM, na siku zote watu walio zoea dhuruma, huwa hawapendi Rais anae simamia haki na usawa, sasa nyie msio ona mema anayo yafanya JPM, basi mna lenu jambo, Tangu nilipo pata utambuzi wa siasa kwa maana ya kuanza kupiga kura nilikua nikimuomba Mungu ANIJALIE NIPATE Rais mwenye kujiamini, muadilifu, mchapa kazi, anae chukia rushwa, ubaguzi wa aina yoyote, ambae ataimarisha uchumi na chama changu CCM ambapo kwa sasa NCHINI hakuna anae weza onea mtu eti kisa serikali "kaiweka mfukoni" kwahiyo kwa sasa Rais wetu tumuunge mkono ili hata mtoto wa mkulima wa Nkasi, Njombe Bukombe awe na fursa sawa na mtoto wa tajiri. hii ndo Tanzania aliyo tuletea Mh.Pombe. Mungu AMBARIKI RAIS WETU.
Anaependa dhulma zaidi yake ni nani?pesa za tetemeko zikowapi nijibu haraka wewe.
 
anasema anataka tuishi kama mashetani hv hii kauli aliisema kwel ? kama aliisema bas mashetani watamuombeaje kwa mungu sasa? yaan tuishi kama mashetani kwan tumemkosea nn
 
kupitia thread hii nimeona waasi wengi.... hadi 2020 naamin watakuwa na jeshi na silaha zao za kutosha....
 
Najua kuna watu mlijipanga kutuletea rais wa kwnu mlio mtaka nyie, mkasahau kuwa Rais ni Chaguo la M/Mungu kupitia viumbe vyake kama sisi wanaadamu. Chaguo hilo si mwangine ni JPM, na siku zote watu walio zoea dhuruma, huwa hawapendi Rais anae simamia haki na usawa, sasa nyie msio ona mema anayo yafanya JPM, basi mna lenu jambo, Tangu nilipo pata utambuzi wa siasa kwa maana ya kuanza kupiga kura nilikua nikimuomba Mungu ANIJALIE NIPATE Rais mwenye kujiamini, muadilifu, mchapa kazi, anae chukia rushwa, ubaguzi wa aina yoyote, ambae ataimarisha uchumi na chama changu CCM ambapo kwa sasa NCHINI hakuna anae weza onea mtu eti kisa serikali "kaiweka mfukoni" kwahiyo kwa sasa Rais wetu tumuunge mkono ili hata mtoto wa mkulima wa Nkasi, Njombe Bukombe awe na fursa sawa na mtoto wa tajiri. hii ndo Tanzania aliyo tuletea Mh.Pombe. Mungu AMBARIKI RAIS WETU.
Watu wanachuki za uchama!!! Shame on them!!!!!
 
Kwanza yeye akubali upinzani upo na authamini, kabla ya yeye kutaka aungwe mkono!
 
Askofu anasema tumuunge mkono Magufuli kujenga demokrasia ya kweli?

Dah! Mzaha wa hovyo sana
 
Back
Top Bottom